Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Kwahiyo utaoa swala tano?Hapana mi ustadhi mwanamke swala tano hanaga mbambamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo utaoa swala tano?Hapana mi ustadhi mwanamke swala tano hanaga mbambamba
Ninaweza nisivae tai shingoni na kuchomekea, nikavaa nguo za kijanja katika namna ambayo sio ya kihuni.Ukiwa wewe kila siku ni mtu wa kuchomekea tu, na tai shingoni; jiandae kusaidiwa
Kama ni yako basi mtabanana hapohapo siku kikiwaka.Kwani entity ni ya nani?
Sio kuvaa mtepesho, kuna wakati mwanamke anahitaji mwanaume awe 'rough'Ninaweza nisivae tai shingoni na kuchomekea, nikavaa nguo za kijanja katika namna ambayo sio ya kihuni.
Kuvaa mtepesho kunazuiaje kusaidiwa?
Mmmh huu uongoSio kuvaa mtepesho, kuna wakati mwanamke anahitaji mwanaume awe 'rough'
Huyo kasharogwa dawa zinamtoka taratibu ufahamu unaanza kurudi.Huyo sio mwanaume
Tunawaambia kila siku haya mambo yana utapeli ona sasa !!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We baba ungekuja kwangu unifungulie mibiashara yote hyoo na gari yani hata kuoga ungekuwa huogi mwenyewe.
Ningekubembeleza wewe hadi ushangaee
Hili nakubaliana na wewe.Sio kuvaa mtepesho, kuna wakati mwanamke anahitaji mwanaume awe 'rough'
Billgate na Melinda hawajagawana?!Ni ndoto ya kila mwanamke masikini na tegemezi kugawana mali na mwanaume wake.
Uwanaume ni mateso kwakweli ndio maana wengine wameleft group.Changamoto za wanaume hazinaga wanaharakati jamaa apambane mwenyewe kiume tu,Mungu atamsaidia.
Sasa pata picha hii issues ingekuwa ina muhusu mwanamke, mda kama huu tayari NGO kama mia tayari washamwekea wanasheria, bado kuna wanasiasa wanajipatia umarufu hapo hapo.
yaaniSasa unyimwe unyumba miaka 7 hiyo nguvu ya kuinama kudeki unaitoa wapi😂😂😂kiuno kisikaze
Naomba uwe jentromeni wangu basiSi amechagua kuwa jentromeni [emoji1787] thats the price you pay to be a jentromeni in bongo tz
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Usijali ama be yuwa jentromeni for sureNaomba uwe jentromeni wangu basi