Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣We mkorofii unafanywa hvo sa ngapii? Labda wewe ndo ufanye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣We mkorofii unafanywa hvo sa ngapii? Labda wewe ndo ufanye
Unadekezwa ila ukizingua unakula mbata 🤣 thats called, puting a woman in her place.Dekeza bwanaaa
Mi sio mkali bwana ila huwa nabalance shobo 🤣🤣🤣,,, kuna mstari hutakiwi kuuvuka!We mkali sanaa
Mmeshatia timu mkuu😀😀KATAA NDOA, NDOA NI UTAHIRA
KATAA NDOA
Hahahahah sheria ndio hakuna kabisa 😀 but uhuru utumike vizuri tuLols
Nampa hongera mkeo
Me naogopa your type
Sheria kama zotee
Wape wewe utelezi ili wakatae ndoa.KATAA NDOA, NDOA NI UTAHIRA
KATAA NDOA
Ogopa limbwataMtu anapesa za kumfungulia biashara maduka manne, kumnunulia gari na bado anadeki nyumba! Hakua na uwezo wa kuweka mfanyakazi wa ndani?
kwani utelezi unaupata kwenye ndoa pekeeWape wewe utelezi ili wakatae ndoa.
Usicheze na nyegezi wewe dogo))
Utelezi wa ndoa ni nyama kwa nyama 100% huko kwa malaya unapata utelezi huku una vaa soksi mara mawazo ya ukimwi,gono,kufumaniwa kuombwa pesa kwa lazima.kwani utelezi unaupata kwenye ndoa pekee
Hoja mfu kabisa. UMEOA ILI UFATE NYAMA KWA NYAMA ?Utelezi wa ndoa ni nyama kwa nyama 100% huko kwa malaya unapata utelezi huku una vaa soksi mara mawazo ya ukimwi,gono,kufumaniwa kuombwa pesa kwa lazima.
Utelezi wa ndoa una raha yake aisee!!
Ndio malengo makubwa ya kuoa nile nyama kwa nyama,nipate watoto na msaidizi wa mambo madogo madogo.Hoja mfu kabisa. UMEOA ILI UFATE NYAMA KWA NYAMA ?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kiti cha kwanza kabisa kataa Ndoa protestorKATAA NDOA, NDOA NI UTAHIRA
KATAA NDOA
Gunia3 za mkaa zinatosha "to put an end to the whole thing"Mshaambiwa, oeni ila msifunge ndoa, ona huyu kanyimwa unyumba kwa miaka 7 ila kavumilia ili asije kuporwa nyumba yake na Mahakama; mwanamke kaona jamaa haachii tu ngazi, kaenda kudai talaka na anataka apewe nyumba ili alete kibenten chake ndani, ndio mkome! Video chini inamaelezo zaidi.
====
View attachment 2527001
Bwana Saidi mkazi wa Jijini Tanga anaelezea alivyonyanyasika na mkewe ambaye kwa sasa amemuacha na kuivunja ndoa yao kwa Kadhi. Huku bado manyanyaso hayo yakiendelea baada ya mkewe kutaka nyumba waliokuwa wakiishi iuzwe wagawane mali.
Majirani wamesema mwanaume huyo alikuwa akimpenda mkewe hadi kufikia hatua ya kumfulia nguo zake, kupiga deki, kuchota maji, kupeleka watoto kliniki, kumfungulia maduka manne sambamba na kumpa gari lakini haikuwa dawa kwake hatimaye ameamua kumwacha.
Mwanaume huyo anaomba msaada asaidiwe.
Clouds TV
Ukiwa wewe kila siku ni mtu wa kuchomekea tu, na tai shingoni; jiandae kusaidiwaHapo kwenye uvaaji wa kihuni, sidhani kama mapenzi yanahitaji hilo swala (katika hali ya ulazima)
Uvae kihuni ili upendwe?