eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
YAANI, sera za kuzuia wageni tunazitoa wapi? Miaka ya nyuma Mwl Nyerere alikemea sera ya "Uzawa" na kuiita ni Ukaburu tu, hii nayo kubagua unataka mge ni wa aina gani ni Ukaburu tu.Rubbish hizi..lini tulikuwa na ubavu wa kuzuia wageni kama hawa?
Tanzania haiwezi kuunga mkono NDOA ZA JINSIA MOJA....pamoja na kuwaheshimu watu wote....pamoja na kuheshimu Uhuru wa faragha...Kwa mikopo tuliyopatiwa wiki mbili hizi zilizopita, bila shaka kukubaki ushoga ndiyo itakuwa dhamana yake.
Kafata vitalu vya gase, maana serikali ya awamu ya 5 ili fukuza kampun za kibeberu uko mtwaraMuhuni huyo alisema nchi isiyotaka ushoga isipewe misaaa
😍YAANI, sera za kuzuia wageni tunazitoa wapi? Miaka ya nyuma Mwl Nyerere alikemea sera ya "Uzawa" na kuiita ni Ukaburu tu, hii nayo kubagua unataka mge ni wa aina gani ni Ukaburu tu.
BG, na Ophir ni makampuni makubwa ya gesi ya Uingereza yenye vitalu vyake deep sea MtwaraKafata vitalu vya gase, maana serikali ya awamu ya 5 ili fukuza kampun za kibeberu uko mtwara
HOJA HAPA NI UGENI WA BLAIR, tukianza kubagua wageni, basi hata sisi tusiende kwa nchi za wenzetu wenye mfumo wa UTAWALA BORA, kwa sasa tunanuka kwa kubambika watu kesi za ugaidi na uhujumu uchumi na pia kutoheshimu sanduku la kura bali tunaheshimu nguvu ya Polisi na TISS. Kwa wenzetu tusiende.Tanzania haiwezi kuunga mkono NDOA ZA JINSIA MOJA....pamoja na kuwaheshimu watu wote....pamoja na kuheshimu Uhuru wa faragha...
Ila....
Tanzania haitoingiza kipengele cha huria ya ndoa za jinsia moja ndani ya KATIBA yake....
Nikwel walikuwepo kipindi cha mkwere, Maguful alivyo ingia aliwatimua ukienda mtwara utakuta majengo tu yame telekezwa, Magufur aliwaambia haya tambui makubaliano waliyo ingia na serikal ya awam ya 4. Lakin sasaivi watakuja tena, na WA China wa Bandar Wana kuja. Aliye kuwa ana wakwamisha hayupoBG, na Ophir ni makampuni makubwa ya gesi ya Uingereza yenye vitalu vyake deep sea Mtwara
Kwa style hii basi hakuna kiongozi wa nchi kubwa tutamkaribisha hapa nchi, maana karibia wote wameshiriki kuleta kadhia duniani kwa namna moja ama nyingine! May be pope pekee anaweza kuwa mkamilifuTony Blair na George Bush walimuua Saddam Hussein bila hatia, na mpaka sasa Iraq haijatulia hata kidogo.
Kwa kifupi, kumkaribisha Tony Blair Ikulu ni sawa kabisa na kumkaribisha JINI/ SHETANI chumbani.
Kwa hali ilivyo sasa, watu wa mtindo huo watakuja sana au sisi tutakwenda sana kwao.
Utajua hii nchi Haina maslahi ya Taifa, kuna maslahi ya CCM na maslahi ya wanasiasa wake wakubwaNikwel walikuwepo kipindi cha mkwere, Maguful alivyo ingia aliwatimua ukienda mtwara utakuta majengo tu yame telekezwa, Magufur aliwaambia haya tambui makubaliano waliyo ingia na serikal ya awam ya 4. Lakin sasaivi watakuja tena, na WA China wa Bandar Wana kuja. Aliye kuwa ana wakwamisha hayupo
Nikwel sasaivi tutaanza kuwaona wa China Kwa wingi na Tembo wetu wataanza kuuliwa kama zaman Maana wa China walivyo wezi na masikin watatuibia kweli na kutuacha na ufukara wetu, Bora mabeberu Tunge wapa Bandar ya bagamoyo ata wakija kutuachia inafaha Kwa matumizi, siyo Kwa Wachina watajenga Bandar wakija kuondoka inakuwa haifai tena maana watejanga Kwa ujanja ujanja ifika miaka 99 majengo haya fai tena inabid yavunjwe ya jengwe upya.Ndio
Utajua hii nchi Haina maslahi ya Taifa, kuna maslahi ya CCM na maslahi ya wanasiasa wake wakubwa
HaaaaMh.Kagame si adui yetu....
Pamoja na kuwa Tanzania ni nchi huru kama tunavyouheshimu Uhuru wao nchi ya Rwanda....
Sisi ni marafiki....
Sisi ni majirani....
Sisi ni ndugu....
#SiempreJMT
Hoja ya kipuuzi.Wakati wa Utawala wa Awamu ya kwanza ilikuwa ni vigumu sana kuona kiongozi kama Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair akiruhusiwa kuzuru Ikulu ama kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu Tony Blair ni mhalifu wa kivita baada ya yeye na aliyekuwa Rais wa Marekani George Bush kudanganya dunia kwa kupitia baraza kuu la Umoja wa mataifa kuwa serikali ya Iraq ina silaha za maangamizi. Hii ilipelekea mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia kuuwawa na majeshi ya kivamizi kutoka mataifa hayo makubwa. Ni muhimu kwa Wizara ya Mambo za Nje ya Tanzania kuangalia upya sera za sasa kuhusu kuruhusu viongozi wanaoweza kukutana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haswa ukiaangalia rekodi zao za nyuma. Mwaka 1980 baada ya mapinduzi ya Liberia mauuaji makubwa yalifanyika chini ya kiongozi aliyeongoza mapinduzi hayo Samwel Doe. Baada ya mapinduzi hayo kiongozi huyo alifanya ziara ambapo serikali ya Tanzania ilikataa kumpokea lakini baada ya Rais huyo kuomba sana Mwalimu Nyerere alikubali kukutana naye kwa saa moja tu bila kuwa na shamra shamra yeyote na kiongozi huyo alilaumiwa na Mwalimu Nyerere kwa vitendo vyake vya kikatili
Wakati wa Utawala wa Awamu ya kwanza ilikuwa ni vigumu sana kuona kiongozi kama Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair akiruhusiwa kuzuru Ikulu ama kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu Tony Blair ni mhalifu wa kivita baada ya yeye na aliyekuwa Rais wa Marekani George Bush kudanganya dunia kwa kupitia baraza kuu la Umoja wa mataifa kuwa serikali ya Iraq ina silaha za maangamizi. Hii ilipelekea mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia kuuwawa na majeshi ya kivamizi kutoka mataifa hayo makubwa. Ni muhimu kwa Wizara ya Mambo za Nje ya Tanzania kuangalia upya sera za sasa kuhusu kuruhusu viongozi wanaoweza kukutana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haswa ukiaangalia rekodi zao za nyuma. Mwaka 1980 baada ya mapinduzi ya Liberia mauuaji makubwa yalifanyika chini ya kiongozi aliyeongoza mapinduzi hayo Samwel Doe. Baada ya mapinduzi hayo kiongozi huyo alifanya ziara ambapo serikali ya Tanzania ilikataa kumpokea lakini baada ya Rais huyo kuomba sana Mwalimu Nyerere alikubali kukutana naye kwa saa moja tu bila kuwa na shamra shamra yeyote na kiongozi huyo alilaumiwa na Mwalimu Nyerere kwa vitendo vyake vya kikatili
Huyo sio kiongozi ni mhalifu wa kivita alitakiwa the HagueHoja ya kipuuzi.
Hatujawahi kumkataa kiongozi yeyote toka mataifa hayo makubwa, iwe wakati wa Mwalimu au wakati mwingine yeyote.
Hoja ya kipuuzi.
Hatujawahi kumkataa kiongozi yeyote toka mataifa hayo makubwa, iwe wakati wa Mwalimu au wakati mwingine yeyote.
Huyu mtoa mada ni mmoja wa 'spin doctors' waliojazana humu....wazoee tu.Rubbish hizi..lini tulikuwa na ubavu wa kuzuia wageni kama hawa?
Mikopo mkuu tunabembeleza tujenge madarasaWakati wa Utawala wa Awamu ya kwanza ilikuwa ni vigumu sana kuona kiongozi kama Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair akiruhusiwa kuzuru Ikulu ama kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu Tony Blair ni mhalifu wa kivita baada ya yeye na aliyekuwa Rais wa Marekani George Bush kudanganya dunia kwa kupitia baraza kuu la Umoja wa mataifa kuwa serikali ya Iraq ina silaha za maangamizi. Hii ilipelekea mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia kuuwawa na majeshi ya kivamizi kutoka mataifa hayo makubwa. Ni muhimu kwa Wizara ya Mambo za Nje ya Tanzania kuangalia upya sera za sasa kuhusu kuruhusu viongozi wanaoweza kukutana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haswa ukiaangalia rekodi zao za nyuma. Mwaka 1980 baada ya mapinduzi ya Liberia mauuaji makubwa yalifanyika chini ya kiongozi aliyeongoza mapinduzi hayo Samwel Doe. Baada ya mapinduzi hayo kiongozi huyo alifanya ziara ambapo serikali ya Tanzania ilikataa kumpokea lakini baada ya Rais huyo kuomba sana Mwalimu Nyerere alikubali kukutana naye kwa saa moja tu bila kuwa na shamra shamra yeyote na kiongozi huyo alilaumiwa na Mwalimu Nyerere kwa vitendo vyake vya kikatili
Tony Blair should be prosecuted over Iraq war, high court hears
Lawyer for former Iraqi general argues former PM should face trial due to legal precedent set during Nuremburg hearingswww.theguardian.com
Tony Blair’s crimes | The Express Tribune
When Blair talks of defending “democracy” he means to keep democracy, freedom away from victims of the wars he sowedtribune.com.pk
Poll: Should Tony Blair be indicted for war crimes? - TFN
Renewed calls for former prime minister to face legal action over Iraq wartfn.scot