Tony Blair kaja kumwona Mama Samia? Nina Masikitiko!

Tony Blair kaja kumwona Mama Samia? Nina Masikitiko!

Wakati wa Utawala wa Awamu ya kwanza ilikuwa ni vigumu sana kuona kiongozi kama Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair akiruhusiwa kuzuru Ikulu ama kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu Tony Blair ni mhalifu wa kivita baada ya yeye na aliyekuwa Rais wa Marekani George Bush kudanganya dunia kwa kupitia baraza kuu la Umoja wa mataifa kuwa serikali ya Iraq ina silaha za maangamizi. Hii ilipelekea mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia kuuwawa na majeshi ya kivamizi kutoka mataifa hayo makubwa. Ni muhimu kwa Wizara ya Mambo za Nje ya Tanzania kuangalia upya sera za sasa kuhusu kuruhusu viongozi wanaoweza kukutana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haswa ukiaangalia rekodi zao za nyuma. Mwaka 1980 baada ya mapinduzi ya Liberia mauuaji makubwa yalifanyika chini ya kiongozi aliyeongoza mapinduzi hayo Samwel Doe. Baada ya mapinduzi hayo kiongozi huyo alifanya ziara ambapo serikali ya Tanzania ilikataa kumpokea lakini baada ya Rais huyo kuomba sana Mwalimu Nyerere alikubali kukutana naye kwa saa moja tu bila kuwa na shamra shamra yeyote na kiongozi huyo alilaumiwa na Mwalimu Nyerere kwa vitendo vyake vya kikatili

Kwa wahusika wa kadhia kama hizi:

IMG_20210930_170832_807.jpg


Watu kama Blair ni muhimu kwa PR (wasafisha nyota).
 
Wakati wa Utawala wa Awamu ya kwanza ilikuwa ni vigumu sana kuona kiongozi kama Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair akiruhusiwa kuzuru Ikulu ama kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu Tony Blair ni mhalifu wa kivita baada ya yeye na aliyekuwa Rais wa Marekani George Bush kudanganya dunia kwa kupitia baraza kuu la Umoja wa mataifa kuwa serikali ya Iraq ina silaha za maangamizi. Hii ilipelekea mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia kuuwawa na majeshi ya kivamizi kutoka mataifa hayo makubwa. Ni muhimu kwa Wizara ya Mambo za Nje ya Tanzania kuangalia upya sera za sasa kuhusu kuruhusu viongozi wanaoweza kukutana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haswa ukiaangalia rekodi zao za nyuma. Mwaka 1980 baada ya mapinduzi ya Liberia mauuaji makubwa yalifanyika chini ya kiongozi aliyeongoza mapinduzi hayo Samwel Doe. Baada ya mapinduzi hayo kiongozi huyo alifanya ziara ambapo serikali ya Tanzania ilikataa kumpokea lakini baada ya Rais huyo kuomba sana Mwalimu Nyerere alikubali kukutana naye kwa saa moja tu bila kuwa na shamra shamra yeyote na kiongozi huyo alilaumiwa na Mwalimu Nyerere kwa vitendo vyake vya kikatili
Jiwe alikutana na mbakaji ikulu nguza viking au babu seya ikulu we unasema nn kuhusu Tonny Blair
 
poor perception tony blair hakuja tanzania kama kiongozi wa taifa fulani amekuja kwa mambo zaidi ya kiuwekezaji kwa hiyo ondoeni mambo ya kiubelgiji hapa
 
Kwa mikopo tuliyopatiwa wiki mbili hizi zilizopita, bila shaka kukubaki ushoga ndiyo itakuwa dhamana yake.
 
Wakati wa Utawala wa Awamu ya kwanza ilikuwa ni vigumu sana kuona kiongozi kama Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair akiruhusiwa kuzuru Ikulu ama kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu Tony Blair ni mhalifu wa kivita baada ya yeye na aliyekuwa Rais wa Marekani George Bush kudanganya dunia kwa kupitia baraza kuu la Umoja wa mataifa kuwa serikali ya Iraq ina silaha za maangamizi. Hii ilipelekea mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia kuuwawa na majeshi ya kivamizi kutoka mataifa hayo makubwa. Ni muhimu kwa Wizara ya Mambo za Nje ya Tanzania kuangalia upya sera za sasa kuhusu kuruhusu viongozi wanaoweza kukutana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haswa ukiaangalia rekodi zao za nyuma. Mwaka 1980 baada ya mapinduzi ya Liberia mauuaji makubwa yalifanyika chini ya kiongozi aliyeongoza mapinduzi hayo Samwel Doe. Baada ya mapinduzi hayo kiongozi huyo alifanya ziara ambapo serikali ya Tanzania ilikataa kumpokea lakini baada ya Rais huyo kuomba sana Mwalimu Nyerere alikubali kukutana naye kwa saa moja tu bila kuwa na shamra shamra yeyote na kiongozi huyo alilaumiwa na Mwalimu Nyerere kwa vitendo vyake vya kikatili
Mkuu wakati wa utawala wa awamu ya kwanza Tony Blair alikua nwana mdogo sana pengine alikua bado yupo shule

Pili, ukisema namna hiyo utakuta Mawaziri Wakuu wote wa Uingereza na Marais wa Marekani ni wauwaji

Tatu, Mwalimu alikua anapinga vitu kwa hoja. Wakati mwingine alikua anatofaatiana na misimamo ya baadhi ya nchi lakini anaweza kuwakaribisha viongozi wake Tanzania na akawaeleza msimamo wake

Mwaka 1980 marehemu Muhammad Ally alikuja Tanzania kama mjumbe maalum wa serikali ya Marekani kupiga kampeni mataifa yasusie Olympic iliyokua inafanyika Moscow kutokana na tofauti yao ya kisiasa. Ally japo hakuonana na Nyerere lakini alikaribishwa nchini

Blair kweli alidanganya akiwa PM wa Uingereza hadi wakaivamia Iraq na kumuua Sadam Hussein na pia kumwaga damu nyingi za watu, lakini kwanza hayakua maamuzi yake kama PM na asingeweza kuzuia chochote na ndio maana hata huko kwao hawawezi kumuwajibisha kisheria
 
Wakati wa Utawala wa Awamu ya kwanza ilikuwa ni vigumu sana kuona kiongozi kama Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair akiruhusiwa kuzuru Ikulu ama kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu Tony Blair ni mhalifu wa kivita baada ya yeye na aliyekuwa Rais wa Marekani George Bush kudanganya dunia kwa kupitia baraza kuu la Umoja wa mataifa kuwa serikali ya Iraq ina silaha za maangamizi. Hii ilipelekea mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia kuuwawa na majeshi ya kivamizi kutoka mataifa hayo makubwa. Ni muhimu kwa Wizara ya Mambo za Nje ya Tanzania kuangalia upya sera za sasa kuhusu kuruhusu viongozi wanaoweza kukutana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haswa ukiaangalia rekodi zao za nyuma. Mwaka 1980 baada ya mapinduzi ya Liberia mauuaji makubwa yalifanyika chini ya kiongozi aliyeongoza mapinduzi hayo Samwel Doe. Baada ya mapinduzi hayo kiongozi huyo alifanya ziara ambapo serikali ya Tanzania ilikataa kumpokea lakini baada ya Rais huyo kuomba sana Mwalimu Nyerere alikubali kukutana naye kwa saa moja tu bila kuwa na shamra shamra yeyote na kiongozi huyo alilaumiwa na Mwalimu Nyerere kwa vitendo vyake vya kikatili
Tukiangalia hivyo basi hakutokuwa na nchi kubwa duniani ambayo tutashirikiana nayo......

Pamoja na mh.Tony Blair kuwa na misimamo yake ile ....

Pamoja na washirika wake kuwa na misimamo yao ile.....

Ila.....

Kinachotuunganisha si misimamo yake "ile" bali ni haya:-

1)Tanzania Inaendelea kuwa nchi isiyofungamana na upande wowote....

2)Tanzania Inaendelea kuwa mshiriki wa mambo ya kidunia kwa kuangalia maslahi yake....maslahi jumuishi ya dunia kama mapambano dhidi ya "magonjwa ya mlipuko ,mabadiliko ya tabia nchi,makundi ya waasi wenye kuhatarisha utulivu na amani.


My take:

Pamoja na Tanzania kutaka nchi ya SAHARA MAGHARIBI iwe "huru" bado ni marafiki wa nchi ya MOROCCO......

Pamoja na Tanzania kutaka kuwaona Palestina wakiishi kwa utulivu kuliko ilivyo sasa ,bado tuna mahusiano ya kibalozi na ISRAEL....hili halikuwepo huko nyuma....haina maana tumekiuka miiko....dunia inabadilika.....misimamo inabadilika ...si sisi tu hata hao nchi za MAGHARIBI...Mathalani leo hii TALIBAN amegeuka kuwa "swahiba" wa Marekani baada ya kuwa naye vitani kwa miaka 20....wamarekani wameondoka Kabul tarehe 31/8/2021 na kusababisha nao MASWAHIBA ZAO(NATO) waondoke bila ya "kupenda sana"....je baada ya hayo hujasikia juzi UMOJA WA ULAYA(EU) ukitaka kuanzisha JESHI LAO LA PAMOJA LA KULINDA AMANI ?!!!🤣

Umoja wa ulaya(EU) umeumia baada ya kutokuwa na uwezo wa kupeleka ASKARI 5000 kuulinda uwanja wa ndege wa Kabul pale walipokuwa wanawaondoa wakazi wa nchi za magharibi/washirika wao na raia waliokuwa wanaikimbia nchi yao....Je kwa hayo ndio UMOJA WA ULAYA wasiendelee kuwa washirika wa Marekani?!!!

Ushirikiano wowote ule hauna maana mnashirikiana vitu vyote.......


#SiempreSerikaliMbiliZaJamhuriYaMuunganoWaTanzania
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
 
Tony Blair na George Bush walimuua Saddam Hussein bila hatia, na mpaka sasa Iraq haijatulia hata kidogo.

Kwa kifupi, kumkaribisha Tony Blair Ikulu ni sawa kabisa na kumkaribisha JINI/ SHETANI chumbani.
Kwa hali ilivyo sasa, watu wa mtindo huo watakuja sana au sisi tutakwenda sana kwao.
 
Pia ndomshauri mkuu wa kagame narwanda kuhusu uchumi
Mh.Kagame si adui yetu....

Pamoja na kuwa Tanzania ni nchi huru kama tunavyouheshimu Uhuru wao nchi ya Rwanda....

Sisi ni marafiki....
Sisi ni majirani....
Sisi ni ndugu....


#SiempreJMT
 
Tony Blair na George Bush walimuua Saddam Hussein bila hatia, na mpaka sasa Iraq haijatulia hata kidogo.

Kwa kifupi, kumkaribisha Tony Blair Ikulu ni sawa kabisa na kumkaribisha JINI/ SHETANI chumbani.
Kwa hali ilivyo sasa, watu wa mtindo huo watakuja sana au sisi tutakwenda sana kwao.
Mkuu pamoja na kuwa DHULMA ya aina yoyote si ya kuchekewa....

Ila......

Unaangalia tu kuuwawa huko kwa Saddam Hussein(aliyekuwa mshirika wao mkubwa) ila umesahau Saddam Hussein alivyowaua WAKURDI makumi kwa maelfu....umesahau Saddam Hussein alivyoanzisha vita na Iran na kuwaua maelfu kwa malaki ya jirani zake kwa kutumia SILAHA ZA SUMU kwa miaka 8 pengine kutoka huko kwa washirika wake wa zamani.......

Madola makubwa hayajaanza kumuua Saddam Hussein mtu wa karibu....walianza KUTUTAWALA KIKOLONI NA KUWAUA WENYEJI MALAKI KWA MAMILIONI.....
 
Bowie sidhwani kama kuna viongozi wenye rekodi mbaya ya utawala kwa sasa duniani kama viongozi wa Afrika, Tanzania ikiwemo. Acheni kuwanyooshea wengine vidole ilhali hata viongozi wetu ni zaidi yao kwa ukiukwaji wa utawala Bora!
Wao walimbamkia Sadam Hussein kesi, sisi hapa upinzani wanabambikiwa kesi kila leo, wanapigwa risasi mchana kweupe, wengine wanapotezwa. Wengine wananunuliwa kwa Kodi ya umma kuunga juhudi. Bado tunajiona wasafi?!
 
Tukiangalia hivyo basi hakutokuwa na nchi kubwa duniani ambayo tutashirikiana nayo......

Pamoja na mh.Tony Blair kuwa na misimamo yake ile ....

Pamoja na washirika wake kuwa na misimamo yao ile.....

Ila.....

Kinachotuunganisha si misimamo yake "ile" bali ni haya:-

1)Tanzania Inaendelea kuwa nchi isiyofungamana na upande wowote....

2)Tanzania Inaendelea kuwa mshiriki wa mambo ya kidunia kwa kuangalia maslahi yake....maslahi jumuishi ya dunia kama mapambano dhidi ya "magonjwa ya mlipuko ,mabadiliko ya tabia nchi,makundi ya waasi wenye kuhatarisha utulivu na amani.


My take:

Pamoja na Tanzania kutaka nchi ya SAHARA MAGHARIBI iwe "huru" bado ni marafiki wa nchi ya MOROCCO......

Pamoja na Tanzania kutaka kuwaona Palestina wakiishi kwa utulivu kuliko ilivyo sasa ,bado tuna mahusiano ya kibalozi na ISRAEL....hili halikuwepo huko nyuma....haina maana tumekiuka miiko....dunia inabadilika.....misimamo inabadilika ...si sisi tu hata hao nchi za MAGHARIBI...Mathalani leo hii TALIBAN amegeuka kuwa "swahiba" wa Marekani baada ya kuwa naye vitani kwa miaka 20....wamarekani wameondoka Kabul tarehe 31/8/2021 na kusababisha nao MASWAHIBA ZAO(NATO) waondoke bila ya "kupenda sana"....je baada ya hayo hujasikia juzi UMOJA WA ULAYA(EU) ukitaka kuanzisha JESHI LAO LA PAMOJA LA KULINDA AMANI ?!!!🤣

Umoja wa ulaya(EU) umeumia baada ya kutokuwa na uwezo wa kupeleka ASKARI 5000 kuulinda uwanja wa ndege wa Kabul pale walipokuwa wanawaondoa wakazi wa nchi za magharibi/washirika wao na raia waliokuwa wanaikimbia nchi yao....Je kwa hayo ndio UMOJA WA ULAYA wasiendelee kuwa washirika wa Marekani?!!!

Ushirikiano wowote ule hauna maana mnashirikiana vitu vyote.......


#SiempreSerikaliMbiliZaJamhuriYaMuunganoWaTanzania
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
Tony Blair ni mhalifu wa kivita na si mtu wa kuwa na uhusiano naye. Nchini Uingereza Tony Blair hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani ya serikali ya Uingereza wala chama chake cha Labour
 
Back
Top Bottom