Tony Blair kaja kumwona Mama Samia? Nina Masikitiko!

Tony Blair kaja kumwona Mama Samia? Nina Masikitiko!

Kama sijakosea alikuwa anaitwa Hans Blinks
Yes, kitu kama hicho. Kipindi hicho nilikuwa darasa la tano kuna mmarekani mmoja alikuwa mwalimu huku tz akawa ananiletea majarida ya huko mbelez yenye hilo vuguvugu.
 
View attachment 1957586

Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.


Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.

Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.

Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.

Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?

Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.

Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?

Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.

Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.

Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.

Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!

Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.

Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.

Mwana JF, mpe neno!


Huyo ni mshirika kindaki ndaki wa bwana PaKa.

Hii anakuja kwa mara nyingine hapa kwetu.

Yetu macho na masikio muda utasema.
 
Mkuu hii kitu iko very personal
View attachment 1957586

Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.


Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.

Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.

Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.

Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?

Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.

Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?

Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.

Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.

Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.

Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!

Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.

Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.

Mwana JF, mpe neno!

 
Duh...!. Hili ni bandiko la fitna!.
P
Hakuna fitna hapo Pascal....Tony Blaur is a murderer ..huo ndio ukweli...Hata sikupenda kabisa mtu huyu, ambaye ni beberu mwandamizi kuja TZ...uki-google na bila Shaka umefanya hivyo bila Shaka utajua Tony Blair na makampuni yake...
Anyway sisi wengine hatuna ushawishi kwa serikali yetu...ngoja aje huyo beberu na afanye walichoamua afanye..
 
September 11 ilikuwa miaka ya 2000 na Vita USA vs Iraki ni mwanzoni mwa miaka ya 90.

Na baada ya September 11 USA walienda msaka Osama bin Laden.

Labda kumbukumbu zangu ndo haziko sawa.
 
Huyu ni kati ya Economic Hitmen wanaijificha kwenye kichaka cha diplomasia.

Wanatumika kuwalainisha viongozi wetu kama Hangaya na wengine kuruhusu mikataba ya kinyonyaji kwa njia mbali mbali.
Mawazo yako ni ya kizamani. Nasikia sauti ya polepole.
 
Busara ilikuwa kuelewa msingi wa mada yenyewe.
Blair ni nuksi, kila anachoshika ni kawama, ana mikono iliyojaa damu za watu waliouwawa kwa hila huko Iraq.
Mbona na hapa kwetu tulikuwa nao/tunao viongozi waliojaa damu tena za watanzania wenzetu? Mbona hamuanzi na hao mnamshupalia mgeni huyu? Huo ni unafiki.
 
Kwa kawaida hawa viongozi wa wazungu huwa wanawaalika kwao watawala wa Afrika ambao hawajielewi.Watawala ambao wameamua kuishi kupigia magoti 'wajomba' ili kuhemea vibaba katikati ya utajiri mkubwa uliowazunguka.Kiufupi hujenga uswahiba na watawala goigoi na shortsited katika kujikomboa.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Mawazo yako ni ya kijima kabisa. Nasikia sauti ya polepole.

Nyerere alikuwa na mialiko ya nchi za ulaya na marekani ambayo hakuweza hata kuimaliza. Je,alikuwa hajitambui,au ulikuwa hujazaliwa?
 
Tony Blair ni mzee wa fursa

Alikuwa mkatoliki akajua kuwa hawezi upata uwaziri mkuu akahamia anglikana akawa waziri mkuu.

Alipostaafu tu akarudi kwenye ukatoliki

By the way he is a f.msn of highest order.

He is at mission
 
Mbona na hapa kwetu tulikuwa nao/tunao viongozi waliojaa damu tena za watanzania wenzetu? Mbona hamuanzi na hao mnamshupalia mgeni huyu? Huo ni unafiki.
Taratibu mkuu, hata tulipofika leo kukubali kuwa tulikuwa na viongozi wenye mikono ya damu ni hatua moja mbele.
Wanajulikana, wataimbwa tu.
 
Hakuna heri yoyote mkuu. Tony ni economic hitman. Watu wa aina yake wanafanya kazi kubwa sana kuhakikisha superpowers ziendelee kunufaika na nchi za huku kwetu kuendelea kudidimia kwenye mikopo na madeni kila uchao.
Mawazo yako ni ya kijima mno!
 
View attachment 1957586

Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.


Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.

Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.

Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.

Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?

Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.

Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?

Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.

Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.

Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.

Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!

Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.

Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.

Mwana JF, mpe neno!

Naona makengezaaaa tu 😂 Au ni mm tu jaman??
 
DUH ...NENO LA UKWELI SIYO ZURI
hi nchi hii ....
Anyway ngoja kwanza nitafute cha kufeed tumbo ..
 
Hapa ndio nilikuwa namkubali Magufuli, huyu mkoloni hakuleta pua yake kabisa wakati akiwepo.
 
Back
Top Bottom