RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Hio 43kph yako ni average speed, ili uipate hio inabidi utembee 70-80kph maanake kuna matuta,kusimama kula,kusimamishwa na polisi maeneo mbalimbali etc. Kwa bus la abiria ni sawa kabisa.Kutoka dsm hadi same ni KM 349.. kama unatakiwa ufika Same saa 7 that means unatakiwa utembee speed ya 43 km per hr
Sheria ya wapi ya kipuuz hivyo? S mwendo wa Baiskel huu??