Tumempata Rais mpya, anaitwa Samia Suluhu Hassan. Sidhani kama ni sahihi kumtambulisha kama Mama Samia Suluhu Hassan maana hata Magufuli alikuwa ni Baba kwa maana ya mzazi lakini kamwe hatukuwahi kuwaita Baba Jakaya, Baba Mkapa nk.
Kisaikolojia kutanguliza neno "mama" ni kutweza cheo Cha Amiri Jeshi na kulazimisha ujinsia usiokuwepo. Ni kumwondolea heshima stahiki maana hata yeye amesema mara kadhaa, "Umakamu wangu ni hapa ofisini nikirudi nyumbani ni mama kama Mama wengine". Kwa mantiki hiyo tumuone Rais SSH akiwa ofisini si nyumbani.
#FreedomIsBack!
Kisaikolojia kutanguliza neno "mama" ni kutweza cheo Cha Amiri Jeshi na kulazimisha ujinsia usiokuwepo. Ni kumwondolea heshima stahiki maana hata yeye amesema mara kadhaa, "Umakamu wangu ni hapa ofisini nikirudi nyumbani ni mama kama Mama wengine". Kwa mantiki hiyo tumuone Rais SSH akiwa ofisini si nyumbani.
#FreedomIsBack!