Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Kwa kweli umesema ya moyoni mkuu!

Mungu akupe mke mwema ... Nilichojifunza ni kuwa ... Mwanaume kwa asili ana wivu wa kiumiliki.

Mwanaume ameubwa kimiliki so ikitokea mahali anapomiliki akamiliki mwingine kwake Huwa la fedheha na matusi!

Wachache wanaweza kusamehe na kuendelea na maisha na mtu huyo huyo aliye cheat ila wengi ni ngumu sana.
 
Mim lilinikuta jambo ambalo kwangu nildhan lisingewezekana. Ilkuwa hiv nilkuwa nnaishi nyumba moja na jamaa flani mwenye mke na watoto watatu maeneo flan yaliyo jitenga kias.
Sasa yule jamaa alkuwa anaingia kazin usiku sometime mchana.
Na mke wake alkuwa ananijali kwel kama shemej yake.
Baadae nilisafiri kwa siku kadhaa yule mama(shem) akachukua namba yangu kwa dogo niliyekuwa nmemuachia funguo,hapo ndo zikaanza sarakas.
Textz za salam zikawa nyingi kweli hata niliporud.
Nikaanza kuhisi kitu tofauti kadri siku zilivyosonga, ila nikasema siwez lala na mke wa mtu tena jirani yangu tunayeheshimiana naye,na ukizngatia nilkuwa sina stori na huyo shemej yangu zaid ya salam.
Sasa bhana sku moja akaja usiku akaniletea chakula et kapika kingi sana.
Namim siku hiyo hormones zilkuwa juu kinouma na kama kawaida yake alkuja kiuchokoz chokoz. Nkajikuta nnamvuta kifuan nkamwabia ukimaliza kula uje ila jitahid watoto wako wasikuone na mlango stafunga ufike unausukuma tuu,akasema sawa.
Asee kama utani vile kias cha lisaa hiv akatinga kajifunika kikoi cha kimasai tuu, yaana hata hakuvaa chup asee.

Nijikuta nishamlaza kibla. Wala skutaka romance nilitinga nyavun fasta na alkuwa na utelezi sijawah kuona.
Nilkuwa na waswasa sana mpaka akaniambia acha uoga.
Tulivo maliza kudinyana niljuta saana nikasema starudia, ila yeye sasa ikawa ndo kila ikifika usiku anataka aje tudinyane.Lakin nikakaza.
Mbaya zaid akaanza kuniambia madhaifu ya mme wake na akaanza kuleta ukorof kwa mmewe, kiukweli nilijiskia vibaya nkawa namwambia muheshim mmeo lakin ndo kwanza vurugu kama zote. Nkaamua, kumblacklist mpaka leo na nkahama kabsaa.
Ilikuwa mara yangu ya kwanza kuwa seduced na mwanamke kwa kiwango kile. Na huwa nnajiamin kwamba niko solid dhidi ya ushawish wa mwanake, lakin nilijikuta nnavunja kanuni zangu mwenyewe bila kulazimishwa. Saiv ndo niko kuanza misimamo upya baada ya lile anguko😃😃😃.
 
Amen mkuu!!

Nilishasema kuwa nikioa napenda amani zaidi kuliko kitu chochote, mke wangu nitampa ninavyo vihitaji!

Majibu ya hovyo sipendelei, kelele .... Bora aniambie nisaidie Ila siyo huna mikono hukiona ntamharibu uso 😂

Mimi wivu ninao for sure ntakufa 😂
 
Mimi na mwanamke mwenye makelele au kisirani tofauti kabisaaa.

Aisee Mungu akupe hitaji la moyo wako!

Kuna wanawake wapole, wakimya ulilosema kitu ... Kwa Unyenyekevu anakueleza hili hapa Mzee sio rekebisha na yanaisha hapo hapo

Habebi moyoni! Ila sidhani kama hawa watoto 2000 wapo wa kundi hilo
 
Mkuu hiyo kauli ya bro wako imenichekesha kinouma.
 
Mimi sipendi kelele hata ile maza nyumbn tuu anafoka mm nakosa amani hapo hapo!

Au mwanamke anapiga kelele za ajabu ajabu aseeh nashindwa kukaa

Amini Mungu anipe mke mwema aseeh naomba hili na ninastahili...

Lakini kelele, ama dharau ety kisa kazoea ndoa kwangu sintolipa nafasi!

Hata kama mazoea tuheshimiane as we were
 
Keshatangulia mbele za haki na alikuwa mashuhuri hebu mtaje walau hata kwa jina moja usijekiwa unanogesha uzi tuu.
 
Tunafanana ... Nimekosea nielekeze kwa upole na Kwa sauti ya chini!

Kelele ni kama matusi kwangu, sijui nahisi Pengine maturity wa wanawake wengi since ni wavivu kuongeza Maarifa kwa kusoma vitabu na makala mbalimbali

Akili zao zinakuwa tupu na Giza kiasi kwamba Wana amini matatizo yanasuluhishwa na makelele au kufoka au kujionyesha na wao kuwa wanajiweza

So ukiwa utafuta mke jaribu kumkera ili uwone upande wake wa pili ... Au wale wa kususa susaaa
 

baltazar embanga engonga
Story za video zake zinaelezea kinachotokea kwenye ndoa,
Maofisini, Majumbani
Matukio ya Baltzar yapo hata kwenye ndoa zetu,
Peoples hazijatulia zinapenda down sana
 
Hilo ntalifanyia kazi

Kuna dada mmoja mnyamwezi aseeh yule nilimpenda for sure, ukiachilia mbali haiba aliyo nayo ya kike ana tabia njema, alikuwa anazungumza kwa ukarimu aseeh yule binti alikuwa kalelewa hasa!
 
Hilo ntalifanyia kazi

Kuna dada mmoja mnyamwezi aseeh yule nilimpenda for sure, ukiachilia mbali haiba aliyo nayo ya kike ana tabia njema, alikuwa anazungumza kwa ukarimu aseeh yule binti alikuwa kalelewa hasa!
Kwanini ulimpoteza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…