Tuliopiga sana pesa za udalali kwenye biashara na bado life gumu tukutane hapa

Sio matapeli, ila wana tabia zao wenyewe wanazijua.
Najua madalali tabia yao mbovu ni over priced ya nyumba au frem unakuta mwenye nyumba anapangisha nyumba laki tatu ila dalali anamchekecha mtu laki nne ili apate pesa nyingi ya mwenz mmoja bila kujali anavyomuumiza mwenzie kwa kipindi atakachookaa hapo.
 
Wanakuja waizi wenzio
Mimi bwana nina biashara 3 nauza vitu jumla.
Sasa kwenye duka moja alikujaga jamaa mmoja akawa kama chawa.
Nisijue wafanyakazi wakamkaribisha.

Sasa siku nakuja kujua nilimfukuza siku hiyohiyoo.

Alinilaani kishenzi kupitia wafanyakazi wangu "Alikuwa akiwapa ujumbe wanifikishie"
Ila mi naona naendelea na yeye yupo tu barabarani, nadhani ile laana ilimrudia mwenyewe.

Kwenye biashara zangu chawa na madalali SITAKI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kuna mhindi mmoja ana Coaster zake za daladala, siku gari imeharibika dereva analalamika anamuambia Boss tunapambana sana wewe hutujali nikiacha kazi hapa hii gari itapaki na kuozea nje.

Mhindi akamwambia najua nyie mnavyoniibia akamtaja jamaa hasa wewe mpaka route unachepusha na hesabu unaleta ileile, na ukiacha hapa kazi hautopata Boss wa kumuibia na akakuvumilia kama mimi
 
Easy money easy Go
 
Boss kaua Mende kwa nyundo 🤣🤣🤣🤣
 
Kuna vijana hawabebeki kwa kweli na wala hawana Soni
Unampa mshahara ajira anayopiga humo humo na akiugua unampa hela ya dawa, mzazi akiugua unampa nauli na matumizi
Na akifa unamtumia za rambirambi ila bado mnatuona mapimbi
Halafu mwisho wa siku kijana anakuja kuwa na maisha mabaya wala huwa hawajali wanafurahia tu maisha ya umasikini
Hapo ndio huwa najiuliza hivi tatizo ni ubongo au ni aina ya wehu ambao wengi wanao
 
Udalali sometime unabutua mshindo mkubwa mpaka unaogopa?! Nyumba inauzwa 30mil dalali analengesha anapata mteja kwa 45-50m kwa maana hiyo 30mil ya mwenye nyumba 15-20mil ya dalali.Pathetic
Huo ni utapeli wala sio udalali, nishafanya kazi sana na madalali,
Nina appartments napangisha madalali nawaambia kabisa bei wakiniletea mteja nawalipa kiasi flani na pia wanautaratibu wao mteja akilipa anawalipa fedha ya udalali kodi ya mwezi 1.
Aidha nilishawapaga madalali kazi ya kuniuzia gari nikawatajia bei wakaitangaza bei ya juu kulipo ile niliyowatajia kimbembe kikaja kwenye malipo mteja anataka kuingiza fedha kwenye akaunti , nikamkubalia nikampa akaunti nikamtajia bei akabaki anashangaa mbona bei niliyoambiwa ni kubwa kuliko unayoniambia, nikamwambia bei yangu ndio hiyo na ndio nataka uweke kwenye akaunti yangu.
Mind wale madalali nilishakubaliana nao wakiniletea mteja wa bei hiyo nawapa kiasi flani.
Wale madalali walimind sana nikawajibu sinaga dili za wizi kama vipi ondokeni na mteja wenu .
Mteja akadhira akaondoka baadae akanitafuta kivyake tukafanya biashara wale madalali hawakupata kitu kutokana na tamaa zao manake mteja mwenyewe aliinunua gari akaipeleka mkoani hata hawakujua kama nilimuuzia yeye.
Madalali sometimes hovyo wanapandisha bei ya vitu wanasababisha visiuzike kwa mapema
 
Yaani umelenga humohumo.
Na kama unataka kupanga nyumba, jua wanakuja madalali kama 6 hv.
 
Mtu mweusi akipata kazi anawaza anaiba vipi. Kuna Transporter ana chinese trucks saizi kaanza kufunga mfumo wa gesi sasa madereva wazoefu walikuwa wanapata pesa kwa kupiga Diesel. Mtu akiambiwa week hii peleka gari workshop ikafungwe gesi anaacha kazi hawataki gesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…