Tulizeni Mioyo Watanzania: Taifa liko Salama Mikononi mwa Mama Samia Suluhu Hassan
Tanzania yetu ipo salama kabisa. Hilo halina shaka. Ila mama Samia afumue kabisa baraza lote. Na yeye pia ajikinge maana ninamuona havai barakoa kabisa na alivyo mnene. Other wise tutapoteza marais wawili ndani ya mwaka mmoja.

Wife huwa una point hata wakati wa msiba! Ndio maana umeujaza moyo wangu.
 
Kabisa, aongoze kwa haki ili utawala wake upate heshima stahiki. Nadhani amepata funzo kuwa kiburi si maungwana. Natarajia atatenda haki sana iwapo ataongoza kupatikana katiba mpya ya wananchi.
Huyo si ndiye alikuwa mmoja wa wenyeviti wa bunge la katiba,unakumbuka walichokifanya yeye na akina Jk?
 
Wizi wa kura sio uzalendo.

Historia ilisha nukuu si wewe wala mwengine yeyote mwenye uwezo wa kufuta. Jua kuwa JPM ni mmoja wa watu na Kiongozi ambaye Mungu wa Mbinguni alimpigania sana kuhusu uhai wake. Kufa kwake kwetu sisi tunaomuamini Mungu wa kweli nawa Mbinguni twa amini ni kibali na mapenzi yake. Hivyo twa mshukuru Mungu kwa maisha ya JPM na yale yote mema aliyo yatenda kwa taifa hili. Mema ambayo ama kwa hakika yataendelea kuwawinda viongozi wote wa Taifa hili la Tanzania watakao mfuatia.
 
Historia ilisha nukuu si wewe wala mwengine yeyote mwenye uwezo wa kufuta. Jua kuwa JPM ni mmoja wa watu na Kiongozi ambaye Mungu wa Mbinguni alimpigania sana kuhusu uhai wake. Kufa kwake kwetu sisi tunaomuamini Mungu wa kweli nawa Mbinguni twa amini ni kibali na mapenzi yake. Hivyo twa mshukuru Mungu kwa maisha ya JPM na yale yote mema aliyo yatenda kwa taifa hili. Mema ambayo ama kwa hakika yataendelea kuwawinda viongozi wote wa Taifa hili la Tanzania watakao mfuatia.
Wale wasiojulikana waanze kusakwa kwani bosi wao ameExpire
 
Mama anatakiwa aondoe wapambe wa huyu aliendoka.
Ugawe nafasi kwa uwezo na sio ukabila na ukanda.
Sio kwa watoto wa dada na kaka. Huyu marehemu akigawa nchi na Watanzania. Naamini Mama hayakumpendeza sasa ni wakati wa kuibadili Tanzania.
Tulio baguliwa sasa tuna kwenda kufutwa machozi.
 
Sasa ni wakati wa kuukabili ukweli. Kwetu sisi wengine, inapendeza kupata hewa mpya ya ukweli, kuachana na UNAFIKI, PROPAGANDA, MAPAMBIO na ujinga mwingi unaotia kichefuchefu.
Tulimkosoa sana Kikwete. Hakuwaua au kuwakamata wapinzani au wakosoaji wake. Tunamiss sana uhuru wa kusema tunayofikiri bila kuwa na wasiwasi wa kushughulikiwa
Rangi hata ukaiweke baharini miaka 10 haiwezi toka rangi ile loading...............
 
Lini tuliwahi kuwa na Makamu wa Marais mzuri? Woote ni Maboya tu. Kuanzia yule aliyekula Sumu kizembe Dr Omary Ali Juma, Shein, Bilali na huyu Mama wote ni Mizigo tu. Kwenye kuongoza Hawawezi ila vichwani wapo vizuri. Angalia swaga zao wanapoongea. Wamepoa mno.
Na huu ulikuwa mpango mkakati wa ccm kuleta watu wa ajabu ajabu ili rais aweze kuwadhibiti.
 
Back
Top Bottom