Tulizeni Mioyo Watanzania: Taifa liko Salama Mikononi mwa Mama Samia Suluhu Hassan
Muda mwingine kulingana na tabia zako watu wanaogopa kukusaidia, inawezekana kweli walitaka kutangaza ila walikuwa na hofu akipona asije kututumbua bure kwa kosa la kutangazia umma bila ruhusa yake.
 
Mama Samia anaweza kuwa Rais bora kabisa kama atachukua the best of Kikwete (uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia kwa ujumla) na the best Magufuli (mtu wa vitendo, ujasiri na uthubutu)

Lakini aache kabisa udhaifu wa Kikwete (rushwa, nganda n.k.). Udhaifu wa Magufuli (kuminya uhuru wa vyombo vya habari, ubabe, kutofuata katiba n k.)
Uchaguzi mi wake
 
The vice-president is a heartbeat away from the presidency.

How that came to pass both literally and figuratively...
Hili la kuteua makamu wasindikizaji ni tatizo. I hope tutajifunza sasa. Ni vyama vyote. Unakumbuka aliyekuwa makamu wa Lissu? Balaa kama hili halikuwa limetokea watu wakachukulia simple. Ila tusihukumu mapema. Anaweza kuja kuwa rais mzuri mpaka kila mtu akashangaa. Tumpe muda. Naona Kikwete ka mbali akirudisha majeshi. Naona Membe naye akipasha misuli.
 
Tanzania yetu ipo salama kabisa. Hilo halina shaka. Ila mama Samia afumue kabisa baraza lote. Na yeye pia ajikinge maana ninamuona havai barakoa kabisa na alivyo mnene. Other wise tutapoteza marais wawili ndani ya mwaka mmoja.
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Uzalendo gani?Wa kuteka na kuua watu wanaomkosoa?
Mungu ninaye mwamini mimi, BWANA YESU, amuwezeshe na kumfanya kuwa jasiri na hodari. Aepuke wakujipendekeza maana watamgharimu. Uzalendo uliojengwa na JPM muda alioitawala Tanzania nawaonea sana huruma warithi wake kama hawatafuata nyayo zake.
 
Uzalendo gani?Wa kuteka na kuua watu wanaomkosoa?

Hata ingalikuwa ni kweli haya umtuhumuyo nayo ni Rais/ Mfalme gani kuwahi kutokea duniani ambaye hakuua?! Anzia kwa wa kwenye Misahafu sembuse hawa wa katiba za vyama na nchi, manabii na wafalme wakina Sauli na Daudi
 
Sasa ni wakati wa kuukabili ukweli. Kwetu sisi wengine, inapendeza kupata hewa mpya ya ukweli, kuachana na UNAFIKI, PROPAGANDA, MAPAMBIO na ujinga mwingi unaotia kichefuchefu.
Tulimkosoa sana Kikwete. Hakuwaua au kuwakamata wapinzani au wakosoaji wake. Tunamiss sana uhuru wa kusema tunayofikiri bila kuwa na wasiwasi wa kushughulikiwa
Bora tuanze upya!
 
Halahala usije kuta unajisakisha wewe.!

Mimi si ogopi mwanadamu wa kuzaliwa na mwanamke. Hofu yangu ni kwa Mungu wa mbinguni/Bwana Yesu ambaye ndiye mlinzi wangu mkuu. Kama unabisha jaribu kunyanyua mkono tuone. Walisha jaribu!
 
Wale waliosema Rais mgonjwa wafutiwe mashtaka maana mama Samia amesema ni kweli alikuwa anaumwa.
Kubwa ni uhuru wa vyombo vya habari na kutambua Covid-19 ipo.
Waliopo gerezani pia kwa uhujumu uchumi, ni wakati sasa Kesi zao zisikilizwe.
Ila amesema alianza kuumwa tarehe 14 Mach. Yawezekana hao walitoa habari hiyo kabla hajaanza kuumwa
 
Mama Samia anaweza kuwa Rais bora kabisa kama atachukua the best of Kikwete (uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia kwa ujumla) na the best Magufuli (mtu wa vitendo, ujasiri na uthubutu)

Lakini aache kabisa udhaifu wa Kikwete (rushwa, nganda n.k.). Udhaifu wa Magufuli (kuminya uhuru wa vyombo vya habari, ubabe, kutofuata katiba n k.)
Uchaguzi mi wake
Na afanye hivyo kupanga ni kuchagua.
 
Huyo si ndiye alikuwa mmoja wa wenyeviti wa bunge la katiba,unakumbuka walichokifanya yeye na akina Jk?
Nakumbuka vizuri sana, ndio maana nimesema aongoze kwa haki kwani ameshapata fundisho.
 

Attachments

  • 20210318_074034.jpg
    20210318_074034.jpg
    21 KB · Views: 2
Mama Samia anaweza kuwa Rais bora kabisa kama atachukua the best of Kikwete (uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia kwa ujumla) na the best Magufuli (mtu wa vitendo, ujasiri na uthubutu)

Lakini aache kabisa udhaifu wa Kikwete (rushwa, nganda n.k.). Udhaifu wa Magufuli (kuminya uhuru wa vyombo vya habari, ubabe, kutofuata katiba n k.)
Uchaguzi mi wake

Wewe unapendo wa kweli kwa huyu Mama Rais Mteule maana umemshauri yaliyo kweli. Wengine humu wanamperemba ili kazi hii inayoiendea iwe ngumu kwake.
 
Ila amesema alianza kuumwa tarehe 14 Mach. Yawezekana hao walitoa habari hiyo kabla hajaanza kuumwa
Wandugu huyu mtu alifariki tarehe 11 saa 11.30 jioni , wiki nzima Genge walikuwa na mwili wanajaribu kucheza sadakalawe ...na walikuwa hata hawana mpango wa kutangaza jana , sema kumekua na pressure kubwa toka kwa wazalendo ndani ya mfumo , pamoja na hofu kuwa leo wapinzani wangetangaza kifo kabla yao .....ikabidi watume helocopter zikamchukue Makamu Tanga mzobe mzobe aje atangaze usiku usiku ......unaweza kuona uso wake mama ulivyojaa simazi na mshangao
 
Huyo mama kwanza anasema siku 14 wakati ni 21. Mama huyu hawezi kuongoza nchi hii tuwe wakweli.
Hata wao wanajua kuna watu wa siku 21 na wengine wa siku 14... Na wewe fahamu hivyo...
Hajakosea hata kidogo...!!
 
Back
Top Bottom