Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Ndio kusema inasubiriwa ndege ya kumleta Lisu Kisutu?.
au Jiwe anaogopa kushindana na Lisu?
 
Sources from Dodoma told the Electroal commission has nullified a Presidential candidancy of a member of opposition Camp! My collegue is closely monitoring the situation in Dodoma.

More to follow shortly:
 
Updates basi! Sasa hivi ni saa 7 na robo, hawajakabidhi tu hizo fomu?
 
Kila la heri NEC katika maamuzi yenu..
MUNGU zaidi kuwapa hekima na busara ili muweze kuamua kwa haki.
 
Wala haipo kama anavyosema mtoa mada. Kilichopo ni kuwa muda umekuwa mrefu kwa waliotangulia hivyo kupelekea muda kuongezeka, hadi sasa hata NCCR nao hawajaingia na ilibidi waingie kabla ya chadema
Shukrani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…