Mnatuletea yale maigizo yenu ya zamani tena, misukule walimshinda ataweza kufufua mfu?!Lisu mwanasheria koko fikiria unaambiwa lete wadhamini wawili wewe unapeleka wadhamini laki Moja si.kumsumbua hakimu au jaji huko? Na kumpotezea muda kuhakiki
Kaambiwa lete minimum Hawa unapeleka maelfu sawa wasubiri tume ihakiki hao maelfu
We panzi anakuzidi akili, sasa NEC kama ilitaka wadhamini wawili lissu kapeleka laki si ihakiki hao wawili inayowataka then hao wengine inaachana nao?Lisu mwanasheria koko fikiria unaambiwa lete wadhamini wawili wewe unapeleka wadhamini laki Moja si.kumsumbua hakimu au jaji huko? Na kumpotezea muda kuhakiki
Kaambiwa lete minimum Hawa unapeleka maelfu sawa wasubiri tume ihakiki hao maelfu
Wasipomkata?Dalili ya mvua ni mawingu. Hata mimi nimeshangaa.Lissu wakimkata basi itakuwa intelligence ya Magufuli imegundua Lissu atashinda hata iweje. Hivyo dawa ni kumkata tu.
TbcAtakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Ha ha ha A, we jamaaWengine wamejaza wadhamini wachache kazi rahisi kuhakiki Lisu kaweka wadhamini maelfu Tume kumaliza kuhakiki itachukua muda .Yeye ndie kasababisha hiyo shida.Wenzie walijaza tu idadi minimum inayotakiwa na Tume Ili uhakiki uwe rahisi na ichukue muda mfupi yeye kajaza wadhamini dunia!!
Kwani aneishawasilisha fomu?Fomu inatamka wazi yeye kajifanya kidume anajaza maelfu asubiri Sasa tume ikeshe kuhakiki na yeye akeshe kusubiri
Utapiga kerere humu akikatwa wewe unaogopa kuwa wa kwanza kuingia barabarani,
Unabaki kusubili uwaone wanakosekana mwisho unachoka
Unarudi kuanzisha mada ingine humu.
Hii information yako naelekea kuiamini, kwasababu kuna pic nimeona afisa wa Tume akiwa na jamaa wa Chadema wanahakiki kitu kwenye fomu, watu muwe na subira, wacheni presha tutaona mbele majibu.Lisu mwanasheria koko fikiria unaambiwa lete wadhamini wawili wewe unapeleka wadhamini laki Moja si.kumsumbua hakimu au jaji huko? Na kumpotezea muda kuhakiki
Kaambiwa lete minimum Hawa unapeleka maelfu sawa wasubiri tume ihakiki hao maelfu
Kampkie mumeo ugaliLisu mwanasheria koko fikiria unaambiwa lete wadhamini wawili wewe unapeleka wadhamini laki Moja si.kumsumbua hakimu au jaji huko? Na kumpotezea muda kuhakiki
Kaambiwa lete minimum Hawa unapeleka maelfu sawa wasubiri tume ihakiki hao maelfu
Safari hii atafumuliwa ubongo badala ya mguuLissu tangaza hali ya utayari nchi nzima.. kama mbwai iwe mbwai
yeye atangaze tu... vijana wapo tayari kwa loloteSafari hii atafumuliwa ubongo badala ya mguu
Muda mwingine Chadema ni hopeless. Wenzao walipeleka fomu zao jana na juzi wao wakajifanya vidume.. Wakaenda leo sujui wana lalamika nini. Utoto tuu. Nimesha wachukia tayari..Chadema Hakuna washauri wazuri kwa Nini Lisu ajaze wadhamini maelfu kupitiliza idadi minimum inayotakiwa na Tume huku wakijua kuwa Tume inahitaji kuhakiki wote Kama Sio hewa?
Tume kuhakiki wadhamini wa Lisu tume yaweza Kesha tofauti na wagombea wengine ambao wamejaza only minimum required number ya wadhamini
Chadema kesheni hapo msubiri Tume imalize kuhakiki mumeyataka wenyewe
CDM Ni chama kubwa.kikikosa mgombea uRais tuwe tayari kutumia bilion 300 zilizotengwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu October kwa kazi zingine Mfano. SGRSafari hii atafumuliwa ubongo badala ya mguu
Wamuulize Keita wa Mali.Wanasubiri maagizo kutoka juu! nawao hawajui wafanye nini hii ndiyo afrika bwana walio juu ndiyo wenye akili