denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Mnatuletea yale maigizo yenu ya zamani tena, misukule walimshinda ataweza kufufua mfu?!Lisu mwanasheria koko fikiria unaambiwa lete wadhamini wawili wewe unapeleka wadhamini laki Moja si.kumsumbua hakimu au jaji huko? Na kumpotezea muda kuhakiki
Kaambiwa lete minimum Hawa unapeleka maelfu sawa wasubiri tume ihakiki hao maelfu
Wacheni kumpa kick za kijinga za kampeni, kwahiyo ataenda kujinadi kwa wananchi amefufua mtu? nyie kweli vichaa.