Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Sasa watu wakupelekwa korokoroni ndio hawa hawapo seriouslyHahaha..jamaa mgombea yeye mgombea mwenza yeye na chama yeye.
Ile mliyozuia kwa miaka mitanoNgoja tuendelee kuhakiki wadhamini wenu sasa mlishindwa kuhakiki huko kwenye majimbo mlikuwa mnahangaika na mikutano tu!
NimehisiCCK pychology technique
😂😂 LoohCCK pychology technique
Ni aibu kubwa halafu eti wanajiita wajanja!! Sasa hapo ikitokea wadhamini wakapungua kwa sababu walimdhamini kumbe siyo wakazi wa maeneo hayo?? UJANJA MWINGIIII KUMBE NI MBUMBUMBU WA KUTUPWA!!Hii ni aibu na fedheha kubwa kwa CHADEMA chama ambacho kinajinasibu kuwa ni chama kikuu cha upinzani kwa kushindwa kufuata utaratibu wa kisheria katika kutafuta wadhamini, yaani hata CHAUMA imewashinda katika hilo.
Mpaka sasa imeshaonesha wazi kuwa CHADEMA ni chama kisicho makini na viongozi wake wanafanya mambo kwa kukurupuka.
View attachment 1547723
🤔🤔Mgombea wa Chadema anapitishwa
[emoji23][emoji23]Mjini akili mkuu[emoji23][emoji23] Looh
Lissu ni Mwanaharakati wala si Mwanasheria Mzuri. Sasa kama ameshindwa kufuata taratibu rahisi hivyo vitu vigumu ataviweza!!??wewe unajua sheria kuliko Lissu?
Utasahauje vitambulisho vinne???[emoji706]Nimehisi
fomu imekaguliwa haina tatizo. wanachofanya sasa ni kuhakiki wale wadhamini kama wapo kwenye data base ya wapiga kura halali.Lisu fomu yake itakuwa na shida tu.