Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Viluninga vyenu vya analog bakini navyo wenyeweAtakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viluninga vyenu vya analog bakini navyo wenyeweAtakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Wamesitishaaa
Hawa jamaa wanatoa live updates[emoji3516][emoji3516]
Mbona sielewi..Naingia naambiwa asante sana!
Hawa jamaa wanatoa live updates[emoji3516][emoji3516]
Global nimewaona wanamuhoji Shibuda[emoji23][emoji23]tbc leo wamedhihirisha kuwa ni watu wa aina gani
Wamefunga matangazo atiiiMbona sielewi..Naingia naambiwa asante sana!
Stream off
Wanachosha sana hawa waduduAcha kulopoka usichokijua mkuu ..ratiba ya kurudisha saa 6 mchana imepangwa na Tume yenyewe
Tuned in...Magustinho na wapuuzi wake wajaribu kufanya Ujinga ndo watashangaa akina Blaise Compaore ilikuwaje wakalala Marais halaf kesho yake wakawa wakimbiziMhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Duuh kazi ipo,kupata updates ni ngumu mno!
Kwenye face book na humuhumu jfAtakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Pepo wa upumbavu na ujinga tokaMwenzake kasharudisha yeye hadi saa sita anasubiri nini ?
Uzembe tu, wacha wafunge ofisi
ccm ni chama cha kishetaniDuh,yaani tbc hawaonyeshi live wamekata matangazo wanaonyesha mijadala ya vijana.
[emoji23][emoji23]Pepo wa upumbavu na ujinga toka
Hivi unadhani ule ni ugali kwamba unauvamia tu bila taratibu
Wale vijana au wazeeDuh,yaani tbc hawaonyeshi live wamekata matangazo wanaonyesha mijadala ya vijana.
Mwanahabari huru tupe taarifa, Lissu wamempa nafasi au vip?Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Kwa mujibu wa rataiba ndio muda wake huuYupo on time
Muda ni sasa?