Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Atakuwa amevaa camera za kuwasiliana na wafadhili waoHuyo Mlinzi Wa Tundu Lissu Hataree,Kichwani Ana Taa Kama Zile Ndogo Wavaazo Watu Wa Migodi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa amevaa camera za kuwasiliana na wafadhili waoHuyo Mlinzi Wa Tundu Lissu Hataree,Kichwani Ana Taa Kama Zile Ndogo Wavaazo Watu Wa Migodi!
😁😁Atakuwa amevaa camera za kuwasiliana na wafadhili wao
Mmmmmh! Yupo nje ya muda, kulikoni?? Na alikuwa wapi? Tuwe makini na huyu mtu
Kwanini hawakuanza na la chama linaloanzia na A?
Tumehifadhiwa kwenye holding room ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa Dodoma kusubiri kuitwa ndani kwa ajili ya uteuzi!
#TunduLissu2020 #NiYeye2020 #SasaBasi #NguvuYaUmma https://t.co/W1qN5vUz10View attachment 1547530View attachment 1547531
Fomu ukiirudisha inatakiwa kukaguliwa usahihi ulitaka wakae chumba Cha Tume?Wengine wote akiwemo mgombea wa ccm walifanyiwa hivyo ?
Mpuuzi wew hujui kwamba wanarudisha kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na necAnarudisha last minute akidhani time watakuwa wameingwa sana bhas ataipitia kikamilifu sababu ya muda mdogo Leo Leo wapokee na Leo Leo watangaze!! Poor thinking
Lisu kingereza hajuiI think waiting room sounds better.... Holding room mmmh
TL mzee wa mahesabu
Hapo ndy nmeshangaaaKwanini hawakuanza na la chama linaloanzia na A?
Kwani jamaa mwenye kofia maalum hajakagua?Hicho chumba kimekaguliwa na na wanaintelejensia wa Chadema?
Kwa Hiyo Mambo Yakizingua TU...US Navy Seal Team 6 Wanatua Kama Rocket?!??😂😂
Ndiyo hao wamekaa holding roomWasiojulikana wako mbali?
Ukiirudisha lazina waipitie au unafikiri wanapokea tu hawaangalii chochote?Mpuuzi wew hujui kwamba wanarudisha kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na nec
Alikuwa wa kwanza kwa hiyo isingewezekana na Leo ni ili wasigonganeWengine wote akiwemo mgombea wa ccm walifanyiwa hivyo ?
TeteteteNdiyo hao wamekaa holding room
Tume ndio iko nyuma ya mudaMmmmmh! Yupo nje ya muda, kulikoni?? Na alikuwa wapi? Tuwe makini na huyu mtu
RED BRIDGADE uwezo wao ni mdogo sanaHicho chumba kimekaguliwa na na wanaintelejensia wa Chadema?
Sijajua kwaniniKwanini hawakuanza na la chama linaloanzia na A?