Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Chadema Hakuna washauri wazuri kwa Nini Lisu ajaze wadhamini maelfu kupitiliza idadi minimum inayotakiwa na Tume huku wakijua kuwa Tume inahitaji kuhakiki wote Kama Sio hewa?

Tume kuhakiki wadhamini wa Lisu tume yaweza Kesha tofauti na wagombea wengine ambao wamejaza only minimum required number ya wadhamini

Chadema kesheni hapo msubiri Tume imalize kuhakiki mumeyataka wenyewe
Kwan wamevunja Sheria ipi hapo ndugu
 
We ng'ombe kwa hiyo maximum ni ngapi kwa mujibu wa tume......? Au ww umekua tume kosa liko wapi😒😒
Fomu inatamka wazi yeye kajifanya kidume anajaza maelfu asubiri Sasa tume ikeshe kuhakiki na yeye akeshe kusubiri
 
Tujitayarishe kufuindishana adabu kwa nguvu ya umma.
Utapiga kerere humu akikatwa wewe unaogopa kuwa wa kwanza kuingia barabarani,
Unabaki kusubili uwaone wanakosekana mwisho unachoka
Unarudi kuanzisha mada ingine humu.
 
Hivi ayo tv siku hizi imekuwaje!!
Muda kama huu walipaswa kuwa mubashara makao makuu ya NEC Dom kutujuza kinachojiri
 
Ni kawaida mshindi kutajwa mwishoni, wanajua kabisa ‘ni yeye’ tu anasubiriwa kabla shangwe kulipuka.
 
Kuna surprise gani kurudisha fomu ? Tume Wana akili nyingi ndio maana Lisu kapangwa Kwanza arudishe fomu kabla ya ACT wazalendo akirudisha yeye ndie ajiandae kwa surprise sababu ikifika zamu ya ACt wazalendo anaona Membe huyo.anarudisha fomu

Act wazalendo wangetangulia wangefanyiwa fujo na Chadema na hata kuporwa fomu

Chadema ijiandae kwa surprise sio CCM
NECCCM Tumeccm fanyeni vioja vyote lakini mjue hakuna mabaya yasiyo na mwisho walikuwepo akina Bokasa Iddy Amin dada,Abacha,chiluba, Elbashiri, Gadafi, Sadam Hussein,‘mabutu leo hii wapo wapi?
 
Kwan wamevunja Sheria ipi hapo ndugu
Hawajavunja Sasa wasubiri wakeshe wakisubiri tume ihakiki taarifa mmoja Baada ya mwingine .Watakesha tume Leo

Wenzao zoezi limekuwa rahisi Chadema wame like complicate un necessarily
 
Lissu asipopitishwa hao wagombea wengine wawe makini, safari hii tulie wote
 
Lisu mwanasheria koko fikiria unaambiwa lete wadhamini wawili wewe unapeleka wadhamini laki Moja si.kumsumbua hakimu au jaji huko? Na kumpotezea muda kuhakiki

Kaambiwa lete minimum Hawa unapeleka maelfu sawa wasubiri tume ihakiki hao maelfu
are you kamasi?
 
Mbona awamu hii ya tano wanaogopa sana ushindani?

Tanzania ni nchi ya demokrasia na hiki ni kipindi cha wananchi kuamua, sioni sababu ya NEC kuchukua muda mwingi kukagua form badala ya kutengeneza uwanja ili wananchi wakaamue wanayemtaka
CCM ya kishetani imeandaa Tumeccm haramu wakizani watanzania ni wajinga watafanya hujuma wasijulikane
 
Ondoeni Shaka, Lisu Vs Magufuli

Tuone ni Nani atamkata ama kumfunga mwenzake, Maana hawa wote majina yao tu ni siraha

Lisu (kisu)×
Vs (Magufuli)✓
 
Ninaangalia kituo cha Taifa cha luninga cha TBC hapa wakionyesha mubashara, matangazo hayo.

Hata hivyo nimeshangazwa kwa kuona wagombea wa chama cha CUF wakiingia kwenye chumba cha kurejesha fomu, wakati wenzao wa Chadema, ambao kwenye ratiba walikuwa wamewatangulia wakiendelea kusubiria kwenye "Holding Room" ambapo haijulikani wataingia saa ngapi!

Hii Tume isifanye masihara na amani ya nchi hii, wanapaswa watekeleze majukumu yao wakiwa huru na wasikubali hata kidogo kupokea maagizo toka juu!
Wanamchelewesha ili kesho ashindwe kuhudhuria mahakama ya kisutu.ila huku dar watu wameshajiandaa mamilioni kumshindikiza.
 
CHADEMA wameshaanza kupanic.

Walitishia kuvunja amani ya nchi kupitia mwenyekiti wao Gastura.

Sasa waanze kuzoea maisha wanayoyachagua na watakuwa ignored mpaka adabu ikamate akili
 
Back
Top Bottom