Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

MWAMBA KATEULIWA kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Sasa mjiandae na kupiga push-ups jukwaani... sasa tunasubiri kujibu mapingamizi (amblyopia tunajua yapo mengi tu kkutoka kwa watu waoga).. #TunduLissu2020 #nohatenofear @TunduALissu
Yes tuko hapa na ndo tunaelekea ofc zetu za kanda ...ni lissu ni lissu ni lissu
 
Wewe kama mimi Mkuu nina donge la hali ya juu sijui habari hii kama ni kweli au la!

Acha kuturusha roho, aisee hapa nilipo ni presha tuu.halafu kugomea ndio nini?
 
Ni Rasmi Sasa!

Tundu Antipass Lissu mwana wa Afrika na mwanademokrasia wa kweli wa Tanzania amepitishwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akiitangazia Dunia Mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage amesema Lissu ametimiza vigezo vyote na Masharti ya kuwa mgombea Urais kupitia Chadema.
Yaaani nec wamejibaraguza ili iwe wote washaisha na tbc washaondolewa ndio wampitishe Lissu?
Ukweli hauwezi kufunikwa uvunguni usipohubiriwa hata juu ya paa.
Hongera zake Lissu kuteuliwa,
Tunasubiri mziki kuanza rasmi
 
Ni Rasmi Sasa!

Tundu Antipass Lissu mwana wa Afrika na mwanademokrasia wa kweli wa Tanzania amepitishwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akiitangazia Dunia Mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage amesema Lissu ametimiza vigezo vyote na Masharti ya kuwa mgombea Urais kupitia Chadema.
jamaa atakuwa anaubao sana. tangu saa 6 tumbo halijapata chochote duuu
 
Ni dhahiri sasa kwamba kuna dalili ya kuchokwa kwa rais wangu Magufuli, wanaoonekana kumchoka ni watumishi na viongozi ndani ya serikali yake.
Kwa kuangalia namna ambavyo mgombea wa CHADEMA amekuwa handled hii inaonyesha ni mkakati wa kulazimisha kupandisha joto la kila mmoja ili kufuatilia kila hatia anayoipiga na kupitishwa Tundu Lissu.
Yote wayafanyayo yanaibua chuki na hasira ya malipizi dhidi ya serikali.
Tangu amerejea nchini, Tundu Lissu amebadili kabisa upepo wa siasa za nchini Tanzania ambazo zilitawaliwa na Chama tawala pekee. Sasa hivi CCM imejikuta kwa wingi, nguvu, ukubwa, uchumi, mtandao na mamlaka yake wanapambana na Tundu Lissu as individual.
Option pekee iliyobaki kwa CCM ni kutumia vichwa vyao ambavyo vipo mbali sana na mfumo ambavyo hata haijulikani kama wanavijua, nje ya hapo ni to pull the nuclear button.
 
Chadema wanacheza mchezo wa serikali, CCM na NEC toka siku Lisu anaingia TZ, lakini wao wanadhani kinyume chake. Kila wanachokitarajia kinakuja kinyume chake, itakwenda hivi hadi mshindi anatangazwa. Mda utaongea
 
Sasa mlikua mnalia lia nini. Magu hanaga ushamba ule wa kukata wapinzani wake
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Enheee picha la kutisha linaanza sasa. Ngoja nivute popcorns mapemaaaaaaaaaaaa.

Kubwa la maadui kazi anayo.
 
Ni Rasmi Sasa!

Tundu Antipass Lissu mwana wa Afrika na mwanademokrasia wa kweli wa Tanzania amepitishwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akiitangazia Dunia Mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage amesema Lissu ametimiza vigezo vyote na Masharti ya kuwa mgombea Urais kupitia Chadema.
ASANTE YESU, ASANTE MUNGU.[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kwa dhati kabisa nampongeza Tundu Lissu kwa Kuteuliwa kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kazi Kwetu wapiga kura kuchagua yupi bora baina yake na Rais Magufuli.

Sina Cha ziada cha kuongezea.
Umemaliza kudhikiri. Maana ulikiwa busy kupiga ramli.
 
Back
Top Bottom