Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalog off kwa muda niingie kwenye maombiIsijekuwa Mbinu ashindwe kwenda Dar Kisutu Kesho?
[emoji23][emoji23][emoji1544]Bado nanoa panga, nipo morogoro, nimetoka mbeya kuwapa vijana maelekezo, nataka nikakate migomba nilishe ng'ombe, nikimaliza nitaenda moshi kufanya hivyo hivyo, ila kabla ya kufika moshi nitapitia gairo kidogo nikazungumze na mkuu mmoja, vp LISSU KAPITISHWA AU KAFANYIWA FIGISU???
Shetani hawezi kua na wafuasiUzi wa magufuli kuteuliwa hata hauna soko umedorora kama utumbo uliolala.
Hahahaaaa........!Bwasheee ulitaka apitishwe wapi Lumumba au!
Hakuna kitu kama hiki huu ni uzushi
Mkuu, mbona nasikia JPM amemkuta TL hapo ofisi ya NEC na kahudumiwa, kupitishwa na amemwacha TL bado yuko hapo?Anarudisha last minute akidhani time watakuwa wameingwa sana bhas ataipitia kikamilifu sababu ya muda mdogo Leo Leo wapokee na Leo Leo watangaze!! Poor thinking.
Una uhakika bwashee?......molemo alituingiza chaka muda mfupi uliopita!