Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Tundu kama Tundu, Toto Tundu, Toto Tukutu...sixteen bullets In and Out of the body but still rolling like a desert stone...piiiiiipoooooooooooooz!!!!!!

huwez kuzuia mama wa mimba ya miez tisa asizae...muda ni ukuta....and to you jiwe👉....Mene mene tekeli na peres

Umkhonto we Sizwe...Mkuki wa Taifa...aluta continue....piiiiiiiiiiiipoooooooooooooooooooz!!!
 
Ni Yeyeeeee
20200825_194403.jpg
 
Si ndio nyie mliokua mnamlaumu

Wanaposema tume ipo huru mbona huwa mnatokwa mapovu
Kumbe magu ndiye mwenye maamuzi??????
Sasa unatufumbua macho. Wanaposema hakuna tume huru mbona mnakua wakali?
 
Sasa nisikie mtu anasema flani hafai kuwa rais wa tz, kama ni hivo basi tume ndio hawafai au aliyewateua hao vingozi wa tume ndio hafai.Tume tunaiamini kuwa itatuletea wagombea bora wa kuongoza nchi hii chamsingi sisi wananchi tumchague.
 
Nasubilia kampeni kwa hamu sana nione mafuriko ya nani yatasomba watu
 
Back
Top Bottom