Huna Haja hata ya kuelezea hilo swali la kipuuzi, kila mtu na maamuzi yake mmkuu hii ni mali halali na ina doc zote za umiliki kwa anayeuza..
so ni maamuzi yake..
kuna shida, kuna kuhama,kuna kukuza biashara.. sababu ni nyingi...
HATI HALALI IPO
Kwanini inauzwa?
Be specific, naona hujajibu swali... Kwanini anaiuza?
Jibu la hilo swali lina determine ununuzi wa hiyo property.
Wabongo wakikosa hela ndiyo shida hiyo. Uchawi unakuwa mwingi sana.
Mtu anakuambia anauza nyumba. Kwa anahitaji mtafute document zote zipo. Mtu anauliza kwanini anauza? Ukishajua jua shida yake utamsaidia?
Ukienda dukani kununua hata viatu utaanza kumuuliza kwanini anauza viatu? Sema hauna pesa za kununua hiyo nyumba
UKIONA UMEANZA KUPATA PESA NA MICHONGO INATIKI. UNATAKIWA KUHAMA USWAHILINI HARAKA SANA. MAANA WATU KM HAWA HUWA WENGI SANA. UTASHANGAA UNAANZA KUCHUKIWA BILA SABABU.
😂😂😂Basi yaishe Mkuu
Biashara iendelee
😂😂Pita kila sehemu watu wanapouza bidhaa zao uwaulize swali kama hili uone kama utabaki na meno yote
Ila siamini kwamba ni swali la kijinga.. labda muktadha wa kuuliza ndo haupo sawa.. ila bado linabaki kuwa swali la msingi..Pita kila sehemu watu wanapouza bidhaa zao uwaulize swali kama hili uone kama utabaki na meno yote
What if kama nyumba ishachukuliwa na bank imerud tena kuuzwa utashaurijeMimi ninachofahamu, vitu vinavyouzwa kwa haraka haraka as if Dunia ndio inaisha kesho huwa kuna namna tu, lazima kuna namna, maana kama mwenye nyumba anashida ya pesa, ni kwanini asiende benki akakope hata millioni 200, halafu asilipe , then bank waichukue, basi, mchezo umeisha.
Utajuaje kama ameshafanya hvyo sahv ndo anaiuzaMkuu wewe ni dalali uchwara!
Kama wewe ni Estate Agent mwenye mshiko nunua hiyo nyumba , chukua documents halafu uza bei yako.
Ndo mana narudia kusema .. sababu ya kuiuza ni lazima iwekwe wazi...What if kama nyumba ishachukuliwa na bank imerud tena kuuzwa utashaurije
Jamaa anataka umwambie sababu mtandaoni watanzania Wana shida sanando hivyo...tunaishi nao
Sio kila mtu ni tapeliKama ni shida, kwanini asiende kukopa 200 million bank alafu asilipe, then bank wachukue? Problem solved
Hakuna mauzauza humo?mkuu hii ni mali halali na ina doc zote za umiliki kwa anayeuza..
so ni maamuzi yake..
kuna shida, kuna kuhama,kuna kukuza biashara.. sababu ni nyingi...
HATI HALALI IPO