Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu
Hizi ni long term investment.. Unadhani mtu akiweka beach camp au hotel hela inarudi ndan ya miaka 5 au 10?

Unajua thaman ya beach plot wew?
Nyumba yangu iko kwenye beach; inaitwa water front, siyo beach plot. ROI kwenye real estate ni miaka 30 tu; ukiniuzia kiwanja hicho kwa milinoni 750, bado nitalazimika kujenga pamoja na kuweka infrastructure zote, kabla ya kufungua biashara yoyote ile. Kwa 20% ROI katika mazingira ya Tanzania siwezi kurudisha pesa hizo zote za kununua kiwanja hicho, kujenga infrastrtcture na kuendesha biashara yenye faida kwa miaka 30. Pesa ninayotumia leo kununua kiwanja lazima iwe na thamani kubwa miaka 30 ijayo!
 
Sijaelewa unachotaka kusema ni nin
Kama hujui nilichosema basi huenda ndiyo maana bei za madalali ni za kujitamkia tu; hazina analytical basisi yoyote. Ukikutana mnunuzi ambaye naye hana analytical knowledge, basi naye atajenga nyumba ambayo kodi yake itakuwa ni kubwa sana ya kuathiri mzunguko mzima wa uchumi.
 
Kumbe hata matumiz ya beach plot hujui... Yaan unanunuaj beach plot halaf unajenga nyumba ya kupanga... Ndo maana hupati ROI unayoitaka

Nimekwambia njoo na facts za bei halisi ya hili eneo....ili uwasaidie wanunuzi..

Kama unaona bei huendani nayo au huielewi.. Kaa tu kimya

Acha wanaoelewa thaman na matumizi ya beach plot wafanye investment zao..
Subiri uuze kwa 750m; nakuapia kuwa itakuchukua miaka kumi!

Kama hujui maana ya neno kupangisha basi hata biashara ya real estate huijui. Wewe unadhani kupangisha ni kuwapa watu residency tu na wala hujui kuwa kupangisha ni pamoja kuwapa wafanya biashara sehemu ya kufanyia biashara zao!

Jitahidi kuwa unafanya investment analysis ya awali kabla ya kupanga bei zako.
 
🤣 🤣 🤣.. Pole sana mkuu nina beach plot 3... Kama unafuatilia nikizitangaza...

Na kwa bei hizi hizi... 1 ipo kwenye process za kukamilisha malipo....

Hiv kwan mfano ukakaa tu kimya unapungukiwa nin...
Kimfaacho mtu chalke sijajua wew unaumia nini zaidi
Teh!! teh!! teh!!; hakuna yenye kukamilisha malipo kwa bei hiyo! Siyo kwa uchumi wa Tanzania wa leo wala wa kesho labda kwa zile pesa za mkato za kutokea njia za vichochoroni ambazo siyo nyingi tena leo hii!

Niaamaini kuwa nina haki ya kujibu jambo lolote linalotokea hapa JF; kama hukutaka majibu ya aina yangu basi usingeweka hapa JF!
 
huna jipya na hata thamani za beach plot huzijui..bora ufiche tu ujinga wako..

kama beach plot tunauza kwa watu ambao ni wafanyabiashara maarufu kwa BILIONS NA KITU ..wewe ni nani Upangie watu bei?
Ukisikia mtu anawaita wasiokubalina naye kuwa ni wajinga, basi ujue ana matatizo makubwa sana ya kiakili.

Kama unawauzia wafanya biashara maarufu kwa mabilions usituletee hapa; wapelekee hao hao watu wako ambao hawafiki hata 0.001% ya hapa JF.

Wewe kama muuzaji unaonekana kuwa desparate kujaribu kuhalalisha bei yako badala ya kunyamaza kuacha soko lijipange. Kadri unavyopiga kelele hapa unaonyesha ufinyu wako kibiashra labda huwa unapata wateja kwa bahati tu na majibu yako hapa yatakuathiri hata wale wateja uliokuwa unapata kwa bahati ukawakosa kwani yanasababisha wapate information on the other side of the coin.

Kuna dalali (labda alikuwa wewe) alitaka kuniuzia kiwanja kwa milioni 80, lakini nikakipata kiwanja hicho hicho kwa milioni 5 tu kwa kufuata sheria za ubadilishaji wa umiliki wa viwanja, tena kwa mabishano sana kwani thamani halisi ilikuwa milioni tatu. Viwanja ambavyo havijaendelezwa bei zake zinajulikana kisheria; huwezi kuchukua kiwanja bure kutoka serikalini ukakihodhi kwa muda halafu baadaye ukakiuza kwa bei kubwa. Sheria zipo wazi kabisa; utakiuza baada ya kukiendeleza tu, na kuna kitu cha kuuza kwa bei unayopanga.
 
Kwenye bahari au mito kunakuaga na umbali fulani ambao hautakiwi kujenga na uwa unaachwa kwa kuwa mto au bahari inaweza kujaa na kufika eneo hilo. Simaanishi kuwa eneo ni reserve bali nimeuliza tu

Ni mita 60.
 
Ukisikia mtu anawaita wasiokubalina naye kuwa ni wajinga, basi ujue ana matatizo makubwa sana ya kiakili.

Kama unawauzia wafanya biashara maarufu kwa mabilions usituletee hapa; wapelekee hao hao watu wako ambao hawafiki hata 0.001% ya hapa JF.

Wewe kama muuzaji unaonekana kuwa desparate kujaribu kuhalalisha bei yako badala ya kunyamaza kuacha soko lijipange. Kadri unavyopiga kelele hapa unaonyesha ufinyu wako kibiashra labda huwa unapata wateja kwa bahati tu na majibu yako hapa yatakuathiri hata wale wateja uliokuwa unapata kwa bahati ukawakosa kwani yanasababisha wapate information on the other side of the coin.

Kuna dalali (labda alikuwa wewe) alitaka kuniuzia kiwanja kwa milioni 80, lakini nikakipata kiwanja hicho hicho kwa milioni 5 tu kwa kufuata sheria za ubadilishaji wa umiliki wa viwanja, tena kwa mabishano sana kwani thamani halisi ilikuwa milioni tatu. Viwanja ambavyo havijaendelezwa bei zake zinajulikana kisheria; huwezi kuchukua kiwanja bure kutoka serikalini ukakihodhi kwa muda halafu baadaye ukakiuza kwa bei kubwa. Sheria zipo wazi kabisa; utakiuza baada ya kukiendeleza tu, na kuna kitu cha kuuza kwa bei unayopanga.

From 80mil to 5mil?

Uongo mtupu.
 
From 80mil to 5mil?

Uongo mtupu.
Inawezekana huwa unatapeliwa au huwa mwenyewe unawatepeli watu wasiojua sheria za ardhi Tanzania. Kiwanja huwa hakiuzwi, kinachouzwa ni mali iliyoko kwenye kiwanja kile!
 
Inawezekana huwa unatapeliwa au huwa mwenyewe unawatepeli watu wasiojua sheria za ardhi Tanzania. Kiwanja huwa hakiuzwi, kinachouzwa ni mali iliyoko kwenye kiwanja kile!

Chai tena robusta hii.
 
Nawe utawakamata mazuzu.
Siuzi kitu wala siyo dalali wa kukamata mazuzu mnaowatafuta nyie! Hongereni sana mnapowapata, kwa sababu nchi hii kweli bado wapo ingawa siyo wengi tena kama zamani!
 
Beach plot ipo mjimwema kigamboni

5KM kutoka kigamboni ferry

eneo lake ni sqm 7228 (ni kasoro sqm 800 ifike heka 2)

Ina hati miliki

BEI NI MILIONI 750 (750,000,000)

MAWASILIANO 0677 818283
View attachment 1675597View attachment 1675598View attachment 1675599



Kwa bei hii ya kutupwa, subiri sasa figisu figisu zirembwe, hati ifutwe kwa madai kuwa ilikosewa kwa kuwa hilo ni eneo la bahari. Hizo TZs bn kasoro utazisikia kwenye bomba. Zaidi sana ufunguliwe kesi na TAKUKURU kwa kuhonga kupata hati miliki ya eneo la bahari.
 
🔥
BEACH PLOT Heka 2 kasoro zinauzwa kigamboni..
✅
Beach hii inauzwa kigamboni 5km TU kutoka kigamboni ferry
✅
Eneo lina ukubwa wa sqm 7228 (Heka 2 kasoro sqm 800)
✅
Eneo linafaa kwa uwekezaji wa hotel au beach camp
📌
Bei ni milioni 800 (800,000,000) TU WAHI SASA..
🏃
🏃
🏃

☎
Mawasiliano call/sms/whatsapp 0677 818283


 
KIWANJA KIKUBWA KINAUZWA
MAHALI : MADALE MIVUMONI
UKUBWA : SQM 1200
BEI : MIL 40,000,000
MAWASILIANO : 0677 818283

TUAMBIE MAHITAJI YAKO YA KIWANJA TUKUPATIE

190452521_10225546561150501_718351201905020523_n.jpg
191500323_10225546557670414_8544491139427472984_n.jpg
191671311_10225546561750516_2484086545504233185_n.jpg
191698491_10225546558910445_2614663653041216025_n.jpg
192238020_10225546560430483_5612212762712355085_n.jpg
 
Back
Top Bottom