dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kwanini unakiuza ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hifadhi ya bahari ndio kitu gani mkuu... unaogopa kwakuwa inapakana na maji ya bahari?Mbona kama ni eneo la hifadhi ya bahari.
Beach plot ipo mjimwema kigamboni
5KM kutoka kigamboni ferry
eneo lake ni sqm 7228 (ni kasoro sqm 800 ifike heka 2)
Ina hati miliki
BEI NI MILIONI 750 (750,000,000)
MAWASILIANO 0677 818283
Kwenye bahari au mito kunakuaga na umbali fulani ambao hautakiwi kujenga na uwa unaachwa kwa kuwa mto au bahari inaweza kujaa na kufika eneo hilo. Simaanishi kuwa eneo ni reserve bali nimeuliza tuhifadhi ya bahari ndio kitu gani mkuu... unaogopa kwakuwa inapakana na maji ya bahari?
hapana ni eneo halali la mtu binafsi na linatambulika mpaka manispaa
kikubwa unaponunua mali inayohusiana na ardhi chukua kopi ya hati peleka manispaa husika waiangalie kama eneo ni halli kwa mmiliki husika...
Hii ni Pesa.Beach plot ipo mjimwema kigamboni
5KM kutoka kigamboni ferry
eneo lake ni sqm 7228 (ni kasoro sqm 800 ifike heka 2)
Ina hati miliki
BEI NI MILIONI 750 (750,000,000)
MAWASILIANO 0677 818283
View attachment 1675597View attachment 1675598View attachment 1675599
Nimezaliwa na uaminifu ndo Mana nasema nipo tayari kwa hatua zozote zile mwenye nyumba atakazochukua ili nimuaminishe Sina tukio la uovu lolote na nipo tayari mwenye nyumba anifahamishe sehemu za kisheria kwamba Mimi ndio muangalizi wa nyumba yakeNitajuaje kwamba ww ni mwaminifu?
Ungeuza hata kwa mil 10 wangehoji kwann ndogo. Jf ni kisangakwa wanao jua beach plot na ukubwa huo ni bei ya kutupaa kweliii..subiri wanaojua beach waje uonee
Figo mbili. N moyommojaEneo kama hili India unauziwa kwa bei ya Chanika kabisa ila huku kwetu ni bei ya figo mbili [emoji23][emoji23][emoji23] dah!
Shamba lipo kiwangwa bagamoyo limeshaendelezwa
Lina heka 11 kati ya hizo heka 9.5 zina nanasi
MVUA ZA MWEZI WA 3..MWAGA MBOLEA TU UJE URUDISHE PESA YAKO MWEZI WA 10
mikorosho 60, mistafeli 30, minazi 50 limao kidogo na passion kidogo
Limezungushiwa nguzo za sement na wire
KM 9 KUTOKA BARABARA KUU YA LAKI NA LINA FIKIKA VIZURI SANA
Linauzwa kwa sababu mmiliki ana shamba kubwa zaidi ..
kuhudumia mashamba mawili imekuwa ngumu..ni bora auze moja ili aweke nguvu kwenye shamba moja kubwa zaidi
BEI NI MILIONI 35 TU
mawasiliano 0677 818283
View attachment 1690738View attachment 1690739View attachment 1690740View attachment 1690741View attachment 1690743View attachment 1690744
mawasiliano 0677 818283
Mkuu mnauza na hayo mananasi au mpaka mmalize kuvuna ndo tufanye biashara?ndiooo boss.ni kajumba cha mlinziii
Umeshaacha kazi ya kuseti madishi dstv?Mkuu mnauza na hayo mananasi au mpaka mmalize kuvuna ndo tufanye biashara?
Umeshaacha kazi ya kuseti madishi dstv?
cha juu 15m hapo, madalali mungu anawaonaBEI NI MILIONI 35 TU