Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu
🔥
HEKA 11 ZA SHAMBA ZINAUZWA BAGAMOYO..BEI YA KUTUPA..MILIONI 35 TU
🔥

✅
Shamba lipo kiwangwa bagamoyo limeshaendelezwa
✅
Lina heka 11 kati ya hizo heka 9.5 zina nanasi
✅
Lina mikorosho 60, mistafeli 30, minazi 50 limao kidogo na passion kidogo Limezungushiwa nguzo za sement na wire
📌
BEI NI MILIONI 35 TU.
📌
WAHI SASA Uendeleze kilimo cha nanasi
☎
Mawasiliano 0677 818283
WhatsApp Image 2021-01-31 at 11.03.09.jpeg
WhatsApp Image 2021-01-31 at 11.03.32.jpeg
WhatsApp Image 2021-01-31 at 11.03.51.jpeg
WhatsApp Image 2021-01-31 at 11.05.07.jpeg
WhatsApp Image 2021-01-31 at 11.05.39.jpeg
WhatsApp Image 2021-01-31 at 11.06.55.jpeg
 
Ni la mama wawil nin..shamba langu liko maeneo hayo hayo
 
Bagamoyo kubwa bwashee. Bagamoyo wapi?
 
Una safari ya wapi hata umeamua kuuza bei ya kutupa kiasi hicho. Au una ugomvi na jirani yako.
 
Bagamoyo huko, pengine majirani zake waswahili wamempiga zongo!!!
 
Nitume hela ya kukununua hilo eneo kwa namba gani mkuu?

Nimelipenda sana
 
Kwenye bahari au mito kunakuaga na umbali fulani ambao hautakiwi kujenga na uwa unaachwa kwa kuwa mto au bahari inaweza kujaa na kufika eneo hilo. Simaanishi kuwa eneo ni reserve bali nimeuliza tu
90m kutoka kwenye bahari ni hifadhi.
 
Naungana na mleta mada hiyo ni bei ya kutoa sadaka.
Thamani yake halisi isingepungua 5B.
Changamkieni chap au mkakope kwa bilionea KidukuLilo.
 
Madalali nawakubali kwa vijimaneno..
Bei ya kutupa
Boss anarudi kwao
Goodluck mkuu uuze chap
Hawa wanachangia sana kuharibu uchumi wa nchi na kushusha thamani ya shilingi kwa kujitamkia namba zisizoendana na hali halisi. Kwa mfano ukinunua kiwanja hicho kwa milinoni 750, utaweka biashara gani ya kurudisha pesa hizo?
 
Back
Top Bottom