Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi

Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali

Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika

Mlale Unono!

Nendeni mkale maganda ya malimau
 
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi

Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali

Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika

Mlale Unono!

Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.
 
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi

Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali

Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika

Mlale Unono!
Basi tuseme wewe ndio ulitaka kumuua ili isiwe Matusi
 
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi

Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali

Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika

Mlale Unono!
Tundu Lissu sio mzima wa akili. Ni wa kuonea huruma na kupewa matibabu.
 
Ach
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi

Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali

Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika

Mlale Unono!
ACha uchochezi haukusaidii kitu
 
Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.

Mlitaka amtaje nani hata kama mhusika ni huyo?

Screenshot_20230203-135343.jpg
 
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi

Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali

Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika

Mlale Unono!
Sasa mtakanusha hadi lini? Magufuli alikuwa jambazi na mwuaji, period;

Hivi watu wangapi wanalalamikia mabaya waliyotendewa na huyo marehemu? mnataka hadi wakachimbue kaburi lake ndo mjue wana hasira?
 
Unaweza kumuua kichaa? Mbowe alivyosema alivamiwa kumbe mlevi tu ilikuwa sahihi? Kwanini Lissu hataki dereva wake ahojiwe? Ikitokea suala hili likaenda mahakamani atakataa asihojiwe? Kwanini?
Kazi mnayo. Vumilieni tu. Kosa kubwa lilofanyika ni kumshambulia na kumiss target.hilo kosa litawakost
 
Back
Top Bottom