meIsco
Member
- Sep 24, 2022
- 61
- 174
Raha kuwa na matozo ee?Yule bwana alikuwa katuharibia nchi sasa hivi raha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha kuwa na matozo ee?Yule bwana alikuwa katuharibia nchi sasa hivi raha sana
Alianza kumchokonoa kwa kumuita dikteta uchwara. Akaonyeshwa udikteta kamili unavyokuwaga.Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali
Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika
Mlale Unono!
Sasa analalama nini!Alianza kumchokonoa kwa kumuita dikteta uchwara. Akaonyeshwa udikteta kamili unavyokuwaga.
Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.
Tundu Lissu sio mzima wa akili. Ni wa kuonea huruma na kupewa matibabu.
Kweli aisee na sasa hivi Lissu yuko hai. Mwenzake sijui yuko wapi.Alianza kumchokonoa kwa kumuita dikteta uchwara. Akaonyeshwa udikteta kamili unavyokuwaga.
Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.
Basi tuseme wewe ndio ulitaka kumuua ili isiwe Matusi
Ninyi "mlio wengi" kufeni bei ya bidhaa ishuke.Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.
Ni kichaa huyohuyo amekufanya saa hizi umejinunisha.Sasa hapo sijui nani ni kichaa?Hebu chunguza utoe jibu😜😜😜😜Unaweza kumuua kichaa? Mbowe alivyosema alivamiwa kumbe mlevi tu ilikuwa sahihi? Kwanini Lissu hataki dereva wake ahojiwe? Ikitokea suala hili likaenda mahakamani atakataa asihojiwe? Kwanini?
she wa awamu ya 5 lazima uwekwe waziRais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM.
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali.
Ni vema Tundu Lissu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika.
Mlale Unono!
Uchochezi tuRais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM.
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali.
Ni vema Tundu Lissu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika.
Mlale Unono!
Hata kuuwa nguruwe anapigwa kichwaniBasi tuseme wewe ndio ulitaka kumuua ili isiwe Matusi
Hahahaa tulia kijana ipo siku utakubaliana namiUongo mtupu..
Kwa kufuata utaratibu wa kisheria lakini.Kwani ni kweli Lissu alikuwa msaliti katika mapambano ya serikali kuhusu Rasilimali zake na wakoloni?
Maana kweli ninachojua! Nchi yoyote huwa iko kinyume kabisa na wasaliti na huwa wanapelekewa moto kweli!
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM.
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali.
Ni vema Tundu Lissu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika.
Mlale Unono!
Adhabu ya kusaliti nchi ni kufa na Corona na kuzungushwa nchi nzima kama mwengeAdhabu ya kusaliti nchi ni nini?
Yani kupoteza muda mahakamani?