Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi

Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali

Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika

Mlale Unono!
Alianza kumchokonoa kwa kumuita dikteta uchwara. Akaonyeshwa udikteta kamili unavyokuwaga.
 
Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.

Kusema ukweli ni kosa?!
 
Unaweza kumuua kichaa? Mbowe alivyosema alivamiwa kumbe mlevi tu ilikuwa sahihi? Kwanini Lissu hataki dereva wake ahojiwe? Ikitokea suala hili likaenda mahakamani atakataa asihojiwe? Kwanini?
Ni kichaa huyohuyo amekufanya saa hizi umejinunisha.Sasa hapo sijui nani ni kichaa?Hebu chunguza utoe jibu😜😜😜😜
 
U
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM.

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali.

Ni vema Tundu Lissu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika.

Mlale Unono!
she wa awamu ya 5 lazima uwekwe wazi
 
Raha kuwa na matozo ee?

🤣🤣

Screenshot_20230204-065943~3.jpg
 
Kwani ni kweli Lissu alikuwa msaliti katika mapambano ya serikali kuhusu Rasilimali zake na wakoloni?

Maana kweli ninachojua! Nchi yoyote huwa iko kinyume kabisa na wasaliti na huwa wanapelekewa moto kweli!
Kwa kufuata utaratibu wa kisheria lakini.
Kumkamata kwa kutumia utaratibu wa kipolisi na kumpeleka mahakamani kwenda kusomewa mashitaka.
Sio kumshambulia kwa kusudio la kutaka kumuua kihunikihuni TU kama vikundi vya kigaidi mfano Boko haramu, Al shababu n magenge ya wauza cocaine huko mexico wafanyavyo.
 
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM.

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali.

Ni vema Tundu Lissu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika.

Mlale Unono!

Bwashee naona jana hukunywa dawa zako
 
Back
Top Bottom