Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali
Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika
Mlale Unono!
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali
Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika
Mlale Unono!
Basi tuseme wewe ndio ulitaka kumuua ili isiwe MatusiRais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali
Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika
Mlale Unono!
Tundu Lissu sio mzima wa akili. Ni wa kuonea huruma na kupewa matibabu.Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali
Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika
Mlale Unono!
ACha uchochezi haukusaidii kituRais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali
Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika
Mlale Unono!
Aliyetaka kumuua ni nani? Ile dhambi itaendelea kuwatesa wahusika kwa miaka 1000 mbele.Tundu Lissu sio mzima wa akili. Ni wa kuonea huruma na kupewa matibabu.
π π πBasi tuseme wewe ndio ulitaka kumuua ili isiwe Matusi
Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.
Ila wauwaji ndiyo wazima?Tundu Lissu sio mzima wa akili. Ni wa kuonea huruma na kupewa matibabu.
Sasa mtakanusha hadi lini? Magufuli alikuwa jambazi na mwuaji, period;Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali
Ni vema Tundu Lisu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika
Mlale Unono!
Unaweza kumuua kichaa? Mbowe alivyosema alivamiwa kumbe mlevi tu ilikuwa sahihi? Kwanini Lissu hataki dereva wake ahojiwe? Ikitokea suala hili likaenda mahakamani atakataa asihojiwe? Kwanini?Aliyetaka kumuua ni nani? Ile dhambi itaendelea kuwatesa wahusika kwa miaka 1000 mbele.
Muuaji ni nani? Babaako au?Ila wauwaji ndiyo wazima?
Kazi mnayo. Vumilieni tu. Kosa kubwa lilofanyika ni kumshambulia na kumiss target.hilo kosa litawakostUnaweza kumuua kichaa? Mbowe alivyosema alivamiwa kumbe mlevi tu ilikuwa sahihi? Kwanini Lissu hataki dereva wake ahojiwe? Ikitokea suala hili likaenda mahakamani atakataa asihojiwe? Kwanini?
Hata Rais Samia amelalamika juzi jinsi alivyotumia vyombo vya dola kunyanyasa watuSasa mtakanusha hadi lini? Magufuli alikuwa jambazi na mwuaji, period;
Hivi watu wangapi wanalalamikia mabaya waliyotendewa na huyo marehemu? mnataka hadi wakachimbue kaburi lake ndo mjue wana hasira?
Hapana yuko hapo jiridhishe tu labda kama ni babaako;Muuaji ni nani? Babaako au?
Clouds nao wametoka kwenye minyororo ya wakoloni weusi π π π π
Sasa je, ukute aliwahi hata kumtisha Samia, hakuwa mtu yuleHata Rais Samia amelalamika juzi jinsi alivyotumia vyombo vya dola kunyanyasa watu