Tundu Lissu aingia Ngorongoro na kupokelewa kwa kishindo

Eti kapokelewa wakati inaonekana kabisa wanataka kumchapa na fimbo. Hakuna wakumzidi Dkt Samia
 
You are everywhere and you know everything.
U gallivant day and night.
Support CCM here defend them there.
Throw insults at people for no reason....
You no get work or are you this JOBLESS?

Kama huna maslahi na ccm unapata wapi nguvu cha kukitete chama hiki kilicho baki kuwa genge la walaghai na wanyanganyi,mana hata walio na maslahi nao wanajua fika chama hakipendwi na wananchi ila wanakomaa kinafiki kulinda maslahi yao tu.
 
Lissu ameacha historia Nchi hii ya Kutetea wanachi kokote anakoenda ni Mshindi
 
You are everywhere and you know everything.
U gallivant day and night.
Support CCM here defend them there.
Throw insults at people for no reason....
You no get work or are you this JOBLESS?
Muda mwingine mnajitakiaga kudharauliwa sasa wewe na hiki ni kingereza au kilugha cha kwenu ?

Unajua sisi wenye elimu kubwa mara nyingi hatupendi kujionesha jifunze kwangu.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Lissu is a victor

Bishop Josephat
 
Lisu wash Moto had asbh hutubia

Ila hyo mimisaai ikija kuongwa vinganga na CCM Wana msahau lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…