Kama ni kweli, basi hakutakuwa na jipya. Tutakuwa tunaendelea kushuhudia uhayawani wa watawala.

Hayo huwa yanatokea wakati waovu na wavunjaji wa sheria na katiba wanapopewa kazi ya kusimamia utiifu wa sheria na katiba.
Wapuuzi hawa. Wanachofanya Watawala na Polisi ni Uhayawani wa kujivua nguo na kuinama ili tuone ni nani kati yao una uwazi mkubwa
 
Una elimu gani!?
 
Hujakutana na vijana wa UDOSO mkuu au kwasababu akili za kuandika hawana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mmoja namjua... Uchawa ulimfikisha ofisi ya Makamu wa rais. Sasa hivi ni Administrative Officer. Famasiala nini 😂👍🏾🙌🏾
 
Ualimu ngazi ipi waliofeli wanasomea?
 
Hamna Serikali yoyote ambayo inaweza kuruhusu kundi au mtu flani asitii sheria za nchi.Ata tungekua sisi CHADEMA ndiyo tupo Ikulu tusingeweza kuruhusu mambo ya hivyo ya hivyo.
Kumbe kwenda ngorongoro kufanya siasa ni jinai? Sasa huyo mbunge wao alifanyia siasa kwenye matako ya baba ako au. Stupid you idiot
 
Zipo taarifa kwamba mh lissu kakamatwa, huu ni uonevu ,tutaonewa mpaka lini, tumechoka na unyanyasaji
Itisha kikao cha dharula cha kamati kuu,

Toeni tamko kwa nchi nzima tujue tufanye nini inatosha

Thanks
Key board woriazi ....sa watz tutafanya nini sisi 😁 labda tuwaombe wanawake wa Irani huko waje kutusaidia, sisi vita yetu ni kwenye key boards
 
Umeongea point kubwa sana...
 


Wanampa CV, ujinga tu.
 
Kukichwa kutapambazuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…