imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hao academics wameifanyia nini Nchi hii zaidi ya kula rushwa tu.Wamasai illiterate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao academics wameifanyia nini Nchi hii zaidi ya kula rushwa tu.Wamasai illiterate
DuuhHili taifa la washenzi na wapumbavu
Mnatekwa au mnakwenda kufundishwa nidhamu.?Vipi mnataka kuwateka kama zamani?
Unakula ukiwa unakata gogo?As population keep on growing mazingira ya mbugani ambalo wamasai wanaishi na mifugo Yao watagharim future ya mbuga zetu na wanyama,labda kama hujafika maeneo hayo basi huwezi jua uhalisia uliopo
US Dollar inatafutwa kwa udi na uvumbaView attachment 2745191
CCM akili zimeishia hapo 👆👆👆😡😡
Tangu alipoanza ushenzi wake wa kutukana viongozi wa serikaliKwahiyo wewe ulitaka akamatwe lini?
Kamtukana kiongozi gani?Tangu alipoanza ushenzi wake wa kutukana viongozi wa serikali
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Daaah! daaah! unamu-ovadozi kwa majibu yenye facts.Kila wakati huwa nasema ni vyema kuficha ujinga( sio tusi) ili kutokujua kwako wasije wanao wakasoma hizi comments baadae wakaona mshua wao chenga...
Sasa nilipost Ramani kwenye post za nyuma kidogo kukuonyesha Hifadhi zilizopo au zilizo na wamasai zilizopo Kenya ila kwakuwa lengo lilikuwa ni kuja kuAttack na sio kupta knowledge hukuziona sasa nakupa tena kwa majina Hifadhi za Taifa zilizo na wamasai kenya....
Kwanza naomba kumake Kwanza correction...
Idadi ya Wamasai wa Kenya ilihesabiwa kuwa 1,189,522 katika sensa ya mwaka 2019 na sio 500,000 kama nilivyosema.... Hilo ni eneo la masai na eneo lote ni eneo la hifadhi kwa Tanzania na kwa Kenya....
Nimeshangaa sana kutokujua kuwa wakenya nao wanaishi kwenye hifadhi na hii ni iliteracy ya hali ya juu sana...Sasa nakusaidia chache....
View attachment 2745136
- Hifadhi ya Taifa ya Amboseli
- Hifadhi ya Taifa ya Ol Donyo Sabuk
- Hifadhi ya Taifa ya Sibiloi
- Hifadhi ya Taifa ya Mlima Longonot
- Hifadhi ya Taifa ya Mlima Elgon
- Hifadhi ya Taifa ya Masai Mara
Wamasai wa kenya ndo wanaMiliki Ngombe na mifugo wengi sana kuliko Tanzania fanya Research....
Hii ndo Ramani Ya Kenya Isome mkuu usiongee kitu usichojua....
View attachment 2745151
Rais samiaKamtukana kiongozi gani?
Weka ushahidi wa matusi hayo.Rais samia
Mimi siwezi kushiriki upuuzi huu wakina lissu nyie mnaoumia ndio nawaambia nendeni mkamsaidie kulialia huku mtandaoni haisaidiiWe hapa uko mbinguni?
Unahisi unajua sana kuliko wanasheria wao?Duh...!. It's high time Chadema wajifunze kutumia the legal remedies prescribed kwenye sheria zetu, wa file kitu kinachoitwa Habeas corpus
P
Angewachwa ningeona polisi yetu haifai kabisa.Nilitaka kushangaa wanamuachaje
Tulia wewe hapa siyo mahakamaniWeka ushahidi wa matusi hayo.
Usiunganishe nanmchi zingine za weusi ongelea TANZANIA sabahu huwezi kulinganisha watu wa kenya na wajinga wa TanzaniaKwenye nchi za watu weusi inataka moyo wa chuma kutetea raia wake ambao kimsingi hata hawaelewi haki zao na faida ya mwanaharakati kama tundu lissu, freeman Aikaeli, John pambalu, twaha mwaipaya na wengine wengi.. Itafika wakati mapinduzi yafanywe na wachache tu tukitegemea watanzania waandamane kudai haki hapo hatutaweza
Kifuatacho ni Chama kuandaa mbinu kabambe za kukabiliana na ccm pasipo nguvu ya umma maana umma wenyewe hawana meno ndio maana serikali inajitafunia nchi inavyotaka.. Tundu lissu inabidi ajuwe kuwa hao anaowatetea ndohaohao wakishapewa ardhi ya ngorongoro watamshukuru Samia Kwa kuwaacha waendelee kuishi ndani ya hifadhi kuliko lissu aliepambana kuwatetea
Tundu Lisu ana tabia ya ushari na malipizi abadilishe mbinu ana fail mno. Na amechangia kuua maridhiano CDM wawe makini naye sana.Lisu anaamini katika miguvu na matusi, na Mbowe anaamini katika akili na maarifa.
Hizo ndio tofauti zao viongozi hao.
Haikubaliki wakati uko nyuma ya keebodi mbaya zaidi unatumia jina feki?. We jamaa ebu kuwa siriazHatufiki popote kwa hili, kiwake nchi nzima hii haikubaliki,haikubaliki, haikubaliki
🤣🤣🤣🤣🤣Naskia walikimbia miguu inagusa mabega wakaenda kukamatwa 10KM kutoka eneo la tukio 😂