Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Screenshot_20230910-194745.png

CCM akili zimeishia hapo 👆👆👆😡😡
 
As population keep on growing mazingira ya mbugani ambalo wamasai wanaishi na mifugo Yao watagharim future ya mbuga zetu na wanyama,labda kama hujafika maeneo hayo basi huwezi jua uhalisia uliopo
Unakula ukiwa unakata gogo?
 
Kila wakati huwa nasema ni vyema kuficha ujinga( sio tusi) ili kutokujua kwako wasije wanao wakasoma hizi comments baadae wakaona mshua wao chenga...

Sasa nilipost Ramani kwenye post za nyuma kidogo kukuonyesha Hifadhi zilizopo au zilizo na wamasai zilizopo Kenya ila kwakuwa lengo lilikuwa ni kuja kuAttack na sio kupta knowledge hukuziona sasa nakupa tena kwa majina Hifadhi za Taifa zilizo na wamasai kenya....

Kwanza naomba kumake Kwanza correction...
Idadi ya Wamasai wa Kenya ilihesabiwa kuwa 1,189,522 katika sensa ya mwaka 2019 na sio 500,000 kama nilivyosema.... Hilo ni eneo la masai na eneo lote ni eneo la hifadhi kwa Tanzania na kwa Kenya....

Nimeshangaa sana kutokujua kuwa wakenya nao wanaishi kwenye hifadhi na hii ni iliteracy ya hali ya juu sana...Sasa nakusaidia chache....

  • Hifadhi ya Taifa ya Amboseli
  • Hifadhi ya Taifa ya Ol Donyo Sabuk
  • Hifadhi ya Taifa ya Sibiloi
  • Hifadhi ya Taifa ya Mlima Longonot
  • Hifadhi ya Taifa ya Mlima Elgon
  • Hifadhi ya Taifa ya Masai Mara
View attachment 2745136


Wamasai wa kenya ndo wanaMiliki Ngombe na mifugo wengi sana kuliko Tanzania fanya Research....

Hii ndo Ramani Ya Kenya Isome mkuu usiongee kitu usichojua....
View attachment 2745151
Daaah! daaah! unamu-ovadozi kwa majibu yenye facts.
 
Kwenye nchi za watu weusi inataka moyo wa chuma kutetea raia wake ambao kimsingi hata hawaelewi haki zao na faida ya mwanaharakati kama tundu lissu, freeman Aikaeli, John pambalu, twaha mwaipaya na wengine wengi.. Itafika wakati mapinduzi yafanywe na wachache tu tukitegemea watanzania waandamane kudai haki hapo hatutaweza

Kifuatacho ni Chama kuandaa mbinu kabambe za kukabiliana na ccm pasipo nguvu ya umma maana umma wenyewe hawana meno ndio maana serikali inajitafunia nchi inavyotaka.. Tundu lissu inabidi ajuwe kuwa hao anaowatetea ndohaohao wakishapewa ardhi ya ngorongoro watamshukuru Samia Kwa kuwaacha waendelee kuishi ndani ya hifadhi kuliko lissu aliepambana kuwatetea
Usiunganishe nanmchi zingine za weusi ongelea TANZANIA sabahu huwezi kulinganisha watu wa kenya na wajinga wa Tanzania
 
Lisu anaamini katika miguvu na matusi, na Mbowe anaamini katika akili na maarifa.

Hizo ndio tofauti zao viongozi hao.
Tundu Lisu ana tabia ya ushari na malipizi abadilishe mbinu ana fail mno. Na amechangia kuua maridhiano CDM wawe makini naye sana.
 
Hatufiki popote kwa hili, kiwake nchi nzima hii haikubaliki,haikubaliki, haikubaliki
Haikubaliki wakati uko nyuma ya keebodi mbaya zaidi unatumia jina feki?. We jamaa ebu kuwa siriaz

Lisu anapita nchi nzima kukataa mkataba wa bandari na kuhamasish wengine wakati waarabu washaanza kufunga kamer zao pale. Mbaya Zaid waliomtuma walitaka kupiganiwa maslahi yao tu yeye kazigeuza kuwa sera za kuombea uraisi mwakani. Atakula ujinga wake
 
Back
Top Bottom