Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
As population keep on growing mazingira ya mbugani ambalo wamasai wanaishi na mifugo Yao watagharim future ya mbuga zetu na wanyama,labda kama hujafika maeneo hayo basi huwezi jua uhalisia uliopo
Mbuga zetu au za Waarabu?
 
Shehe Mwaipopo: Wake zetu Wanatibiwa na akina Dr John, Dr James, Dr Peter kwenye kachumba huku sisi tukisubiria kwenye mabenchi na tasbib ndefu mkononi

Shehe Mwaipopo bana Utani kama Ukweli
Wewe unategemea Faizafoxy atakuwa hajawahi kuchokonolewa na madaktari wakristo ambao kila mara huonesha chuki kwao?

Asikudanganye na hayo maninja anayovaa, kwa daktari anayachojoa yote mpaka vya ndani kabisa. Lakini kwa sababu ya uadilifu wao madaktari wa hospitali za Kanisa, wanamchokonoa tu kwa vifaa na ni pale inapobidi huku mumewe akimsubiria nje.
 
Acheni kucheza na akili za Watanzania. Kwa nini Mnyika na Mbowe hawajakamatwa??? Hii mikutano si walikuwa wakiongozana na Lissu.
 
Yaani wewe kibwengo maji unaongea nini? DP World ashinde nani huyo Bibi yenu? Ngedere hawana lolote lile

Sasa unadhannnani kashinda katika suala Hilo?unadhan unaweza shindana na serikali smart kama hii inayoongozwa na Malkia Bilkis,Quen of shebah Dr Samia?
 
Acheni kucheza na akili za Watanzania. Kwa nini Mnyika na Mbowe hawajakamatwa??? Hii mikutano si walikuwa wakiongozana na Lissu.
Mbowe na mnyika wako smart wachaga wale,hawako Frontline siku zote,ni watu flan wanaopenda kuwachuza wenzao
 
Wapi TL Amewaambia maasai wagome kutoka hifadhini kwa kupigana vita? Nilimsikiliza anatoa solution ya kuondoa unyanyasaji (according to him) ni kuwakataa CCM kuanzia uchaguzi mwakani wa wenyeviti kisha uchaguzi mkuu 2025 sasa hapo amepigana vipi na maagizo ya Serikali.
Ameambiwa asiende Ngorongoro na mamlaka husika.
 
Huyu mwehu wamechelewa sana kumkamata. Ilitakiwa alipoanza tu kuongea hovyo. Siku hiyo hiyo anatiwa adabu, wengine wote wangetia akili.
 
Sasa unadhannnani kashinda katika suala Hilo?unadhan unaweza shindana na serikali smart kama hii inayoongozwa na Malkia Bilkis,Quen of shebah Dr Samia?
Unabichwa kama nyumbu huyo Dr kibwengo au Dr uchwara, Bibi ni bibi tu
 
Wamasai wanam
Kila wakati huwa nasema ni vyema kuficha ujinga( sio tusi) ili kutokujua kwako wasije wanao wakasoma hizi comments baadae wakaona mshua wao chenga...

Sasa nilipost Ramani kwenye post za nyuma kidogo kukuonyesha Hifadhi zilizopo au zilizo na wamasai zilizopo Kenya ila kwakuwa lengo lilikuwa ni kuja kuAttack na sio kupta knowledge hukuziona sasa nakupa tena kwa majina Hifadhi za Taifa zilizo na wamasai kenya....

Kwanza naomba kumake Kwanza correction...
Idadi ya Wamasai wa Kenya ilihesabiwa kuwa 1,189,522 katika sensa ya mwaka 2019 na sio 500,000 kama nilivyosema.... Hilo ni eneo la masai na eneo lote ni eneo la hifadhi kwa Tanzania na kwa Kenya....

Nimeshangaa sana kutokujua kuwa wakenya nao wanaishi kwenye hifadhi na hii ni iliteracy ya hali ya juu sana...Sasa nakusaidia chache....

  • Hifadhi ya Taifa ya Amboseli
  • Hifadhi ya Taifa ya Ol Donyo Sabuk
  • Hifadhi ya Taifa ya Sibiloi
  • Hifadhi ya Taifa ya Mlima Longonot
  • Hifadhi ya Taifa ya Mlima Elgon
  • Hifadhi ya Taifa ya Masai Mara
View attachment 2745136


Wamasai wa kenya ndo wanaMiliki Ngombe na mifugo wengi sana kuliko Tanzania fanya Research....

Hii ndo Ramani Ya Kenya Isome mkuu usiongee kitu usichojua....
View attachment 2745151
Wamasai wanamiliki 'Ngombe wengi huko Kenya alafu hao wamasai ndiyo wenye mifugo mingi kwenye Taifa lenye n'gombe wengi hapa Afrika mashariki na kati wakiwa Tanzania. Hivi hizi ni akili kweli? Mtu anasema eti mbona hifadhi za Kenya awaondolewi? Hivi wanachofanya Kenya ni lazma nasi tufanye hivyo? Hizo Mbuga za Kenya zinayo hadhi kama ya Ngorongoro au na ili mpaka turudi darasani?
Ni hasara hipi nchi inapata kuwaondoa watu hao wanao leta madhara kwenye hifadhi ya Ngorongoro?
Karibu ila usiache Lugha za kejeri na matusi.Kwenye ili CHADEMA tumekosa hoja kabisa....sidhani kama tunashindwa kutafuta hoja za kuwaambia watanzania
 
Too bad, she's your prezoo...and God bless her tunae hadi 2030 kwa mapenzi yake, kubaliana na hii hali
Huyo Bibi yenu mwisho 2025, CCM hatuweki candidate wa kibahati bahati awamu hii huo ujinga haupo tena
 
Back
Top Bottom