Kwani CCM ilishinda au ilitangazwa kua ilishinda?Mwaka 2015 tuliona picha za kila aina zikiwemo za mifereji, mito, ziwa na Bahari yeye mafuriko lakini zote hazikufua dafu kwa CCM. Tujiandae kisaikolijia.
Kwani Mkapa yupo? Makamba na Kinana wanasemaje kwa sasa?Wakuishinda CCM nje ya CCM hajazaliwa bado labda Karne ijayo
Lowassa hakushindwa, tofautisha kuibiwa kura na kushindwaHivi Wana Sacco's wa Cha Domo Alie waroga ni Nani Kuna amsha amsha,shangwe na nyomi Kama la lowasa? Na alishindwa zile Ni vionjo vya kusindikiza ushindi wa mgombea wa CCM na hivi mnavyo viona kwa huyo mgonjwa wa sonona lisu Ni muendelezo wa shamra shamra za ushindi wa CCM?
Wameleta za 2015 za kampeni. Singida mashariki Haina hiyo idadi ya watu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe kapiga nyomi kwao ngoja magufuli na yeye aende uko uone ndio utaona nguvu ya mzee wetu mpendwa alafu picha mbona hamtumi au mnasubir mu edit pia mkumbuke Kuna watu walideki lami na bado wakapigwa mtungo
Kwani hawa jamaa ni confirmed walikuwepo kwenye Nissan nyeupe?Hao kwa sasa ni maadui nambari moja wa watanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwaka 2015 tuliona picha za kila aina zikiwemo za mifereji, mito, ziwa na Bahari yeye mafuriko lakini zote hazikufua dafu kwa CCM. Tujiandae kisaikolijia.
Musiba, Le mutus, Makonda na Muro, hawa wamehuharibia sana Mzee.Musiba na Le Mutuz wanachokitafuta watakipata soon, wanadhani nchi hii ni mali yao binafsi. Subiri waingie kwenye target zetu Mkuu.
Mkuu Siri ya ushindi wa Magu 2015,anaijua Lubuva,JK na Magu mwenyewe,unadhani bunge live lilipigwa marufuku kwa bahati mbaya? Unadhani Magufuli kuamua kuwa live kwa kila Jambo hata zile petty issues ilikuwa kwa bahati mbaya? He knowsMwaka 2015 tuliona picha za kila aina zikiwemo za mifereji, mito, ziwa na Bahari yeye mafuriko lakini zote hazikufua dafu kwa CCM. Tujiandae kisaikolijia.
Kampeni gani?Asije akawekewa pingamizi kuwa alianza kampeni kabla ya wakati..