Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atua Katoro - Geita kwa kishindo

Niliwai sema na nasema tena leo. Historia kuu inaenda kuandikwa Tanzania mwaka huu. Tundu Antiphas Lissu anaenda kupindua meza mwaka huu na kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania mwaka huu.

Mungu anaenda kumweka mtoto wake aliyemponya risasi 16 ikulu mwaka huu!
 
Baba yetu magufuli kasema mnatumia picha za 2015, sijui itakuwaje sasa na sisi maccm tunaowajaza wanafunzi na walimu wao kwenye mikutano yetu.
 
Amekubalika na nani? Yaani Nyomi iliyompokea Magufuli tena akiwa njiani utanlinganisha na huyo mabagafreshi.
 
Magesa alishilikiana na Zitto,Hawa watu mimi huwa sina hamu nao kabisa
 
Labda Rais wa kwako na mama yako, nani amruhusu mtu anayefunuliwa mtaro aingie Ikulu.
 
Aisee kumbe ni Yeye. Wasiojilikana kumbe wanajuliakana
 
Hilo jambo halipo leo wala halipo keshokutwa .
 
Watu tumetoka mwasumbwe,na Segese full shazi....yaani funika bovu ..Magu anahara tu huko...n flagyl zimebounce
 
Endeleeni kumdanganya Lussu. EU wenye akili wamesha kubali ya ishe. Lissu is a losing horse and curse to this nation "Tanzania" Someone needs to be out of his/her mind to support him.
EU ya Lumumba chini ya pole pole
 
Eti huyu Mbwa ndiyo awe Rais big no kwa namna yoyote ile hawezi kuingia Ikulu.
 
Wewe kweli umenielewa. Lissu asikimbie ukweli, ajisahihishe na kutubu. Unawahadaa wenzako, ukikutana na akina amsterdam unapiga mpunga, mwe sasa kiko wapi? Mungu hadhihakiwi bwana!
Labda mungu na yesu wa Chatto
 
Bring to us more evidence thanks in advance .
 

Wajibu wa Askari ni kulinda Raia na mali zao. Serikali inapaswa kulinda Raia si kuwinda Raia kama wanyama pori. Mnapochagua Rais mnamaamuzi ya kumchagua anaewatesa au yule aliyepigwa kama nyinyi.
 
Bro yaani umezidisha chumvi sote tumeona taarifa ya habari kupitia ITV yaani watu aliowapata huyu jamaa hawafiki hata nusu ya watu waliomsimasha Magufuli akielekea chato.
Wewe umeona kwa Tv.mimi nilikuepo..ilikua faya....watu wamejitambua na kuelewa haki zao..dadek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…