Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Bila shaka yoyote mchongo ndio ulivyokuwa umepangwa.
 

Hii imekaa vizuri. Asante mwanataaluma Lissu. Saa ya ukombozi ni sasa. Nchi ilipoteza mwelekeo kabisa.
 
Hili vibe la mwaka huu raha sana
 
Jamaa anatembea na misafara ya kihuni, utafikiri km sio rahisi mtarajiwa
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office
Unapokuwa tofauti na wenzako ni ishara pia unaweza kuwa upo ahead na uwezo mkubwa kuliko wao.
 

Mimi mpiga kura nafahamu nani ametufikisha hapa tulipo right kama kungekuwa na utawala wa haki siyo kuoneana tusingefikia hapo lakini kwakuwa kuna kikundi cha wanaojiona wana haki ya kuonea wenzako ngoja twende sawa hivohivo hata Rais akiwa na polisi lakini bado hakuna sheria inayomruhusu kutumia hayo mamlaka aliyonayo kuvunja sheria za nchi kama kusema wapinzani wakishinda wasitangazwe ndiyo maana anapendwa na genge lake tu
 
Hata Mimi nikiwa Rais naweza Jenga sgr sio kazi ngumu .

Hata presidential decree unajenga unakaba huku na unakaba kule reli hio hapo .

Watu wanataka mkate wa kula njaa zinauma ndio hao wako nyuma ya lissu
Uongozi ni kubalansisha mambo. Kama baba unaacha za kula za kutosha nyumbani watoto washibe na zingine unajengea, simple economics!
 
Chenge hajawahi kuwa kiboko ya lissu katika Sheria sema Wana weledi mkubwa unaokaribia katika Sheria

Namueheshimu sana chenge katika Sheria .
Lissu haoni ndani kwa Mtemi Chenge.
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office
mbona hukusema kwenye utofauti wa kula mahindi barabara! Awamu ya kwanza, pili, tatu na nne hawakufanya hivyo. Co kila utofauti ni mbaya kuna utofauti mzuri
 
Inabidi BAVICHA TAIFA mfanye verification ya hii account yenu humu JF.
Iko verified that's why haijafutwa na hii ni matokeo ya kilio cha wengi kuyaka CHADEMA ijitanue mitandaoni
Kumbe ni account ya kitambo sana tangu 2013...lakini nadhani ilikuwa less active

CHADEMA, BAVICHA TAIFA please wekeni nembo ya chama kama DP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…