Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Ana balaa huyu!!Kumuwekea pingamizi magufuli?Ni jambo ambalo halikutegemewa wala kutarajiwa.TL anaitesa tume ya Uchaguzi lakini busara za Mwenyekiti naamini zitatumika na atawithdraw mapingamizi yake kwa mustakabali mwema wa nchi yetu.
 
Anauwa Chama chenu lakini, Magufuli ni Raisi wa JMTZ na mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ ni ujuha, ni watu low IQ ndio wanaweza kufanya hivi, ...
Hajaanzisha vita atakeleza takwa na kikanuni la kuwawekea wagombea wenzake pingamizi kama lipo Magufuri nae ni mgombea je tatizo liko wap?
 
Hivi ikitokea ikawa anayepingwa ni Magufuli, uhuru wa NEC kushughulikia hilo utatoka wapi?

By the way kuwekewa pingamizi maana yake ni kukosa sifa ya kushiriki uchaguzi au?

NEC wanapaswa kuingalia na kuizingatia sheria....

Kama kuna kosa na amekiuka sheria, NEC haipaswi kumuogopa ama kumuonea aibu....lazima watamke KWA SABABU HII/HIZI PINGAMIZI LIMEKUBALIWA....

Hii ikitokea, kinachoweza kufanyika atarudi ofisini CHAMWINO, blindly na kijinga kabisa kama kawaida yake atatumia madaraka yake ya Urais kwa mkurupuko na kwa kupaniki kwa kufanya kosa la mwaka na la hatari kabisa, la kutengua UTEUZI wa M/Kiti wa NEC na wakurugenzi wake wote katikati ya "mchakato" na kisha atateua NEC mpya....!!!!

Haa haaa haaa, JIWE akifanya hivi, atakuwa ameamua kusaini kifo chake moja kwa moja...!
 
Hivi ikitokea ikawa anayepingwa ni Magufuli, uhuru wa NEC kushughulikia hilo utatoka wapi?

By the way kuwekewa pingamizi maana yake ni kukosa sifa ya kushiriki uchaguzi au?
We unadhani kuna mtumishi wa serikali anaipenda serikali hii.....

Naamini watumishi wote wakipata nafasi ya kupiga spana watafanya hivo ili kulikomboa taifa kutoka kwa udharimu wa awamu iliyoisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…