Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Hebu tueleze pingamizi la msaliti Lissu linahusu nini? Tuanzie hapo kwanza!
 
Kajifunze kuandika kwanza mambo makubwa sio kila jambo lazima uchangie hata kama mnalipwa😂😂😂
 
Hawajawahi kutana mahakama Kama washawahi ni lini
Bungeni siku ya report ya uchunguzi ya kina marehemu Deo Filikunjombe. Yaani hadi Lissu mwenyewe walikuwa wanamfuata Mtemi Chenge. Tena siku hiyo bunge lilikuwa live. Walijadili ila wote walikuwa wanamfuata Chenge ili kutafasiri na sheria.
 
Mh. Rais magufuli ndiye mhamasishaji mkuu wa kufuata sheria na analisisitiza hilo kila siku hivyo sion tatizo hapo zaid ya umbea
Kwa kweli afuate sheria kama vile alivyowakatia mishahara watumishi ambao walitia nia bila kufuata sheria
 
Afadhali angejikita kuandaa silaha za kupambana nae jukwaani kuliko hizi tantalila anazotaka kuanzisha ambazo hazitampa credibility ya kupata kura kwa wananchi wanyonge
 
Shida yako unaandika huku umekumbatiwa au darasani hukuwa makini wakati mwalimu akifundisha.
 
Bungeni siku ya report ya uchunguzi ya kina marehemu Deo Filikunjombe. Yaani hadi Lissu mwenyewe walikuwa wanamfuata Mtemi Chenge. Tena siku hiyo bunge lilikuwa live. Walijadili ila wote walikuwa wanamfuata Chenge ili kutafasiri na sheria.
Leo kama umesahau mtukufu Magufuli? au Shibuda na Lipumba wamekupa mgao?
 
Mnahangaika sana

 
Kasome sheria usiwaze kwa mazoea kama sheria imekataza angeenguliwa
yaweza kuwa hata sheria hujui nimeandika nn hapo kinacho pingana na sheria au ndio wale waku dandia train kwa mbele huelewi kinacho endelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…