Hebu tueleze pingamizi la msaliti Lissu linahusu nini? Tuanzie hapo kwanza!Lisu kaweka ana akili sana huyu Mtanzania. Akili zake siyo za dunia hii.
Amewatega NEC vibaya mno na wametegeka. Wako njia panda. Wakijikwaa katika maamuzi ya mapingamizi ya JPM na Lipumba (hii itakuwa ni precedence), na hivyo basi wabunge wote walioenguliwa watarejeshwa.
Na endapo watayapa uzito, Magufuli atapoteza sifa ya kuwa mgombea.
Vyovyote iwavyo, akili ya Lissu itakuwa imeshinda.
Lakini msisahau hili: (Aliyepewa kazi ya kumjazia fomu John atapata taqbu sana)