Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)



Natamani wanaume walau 17%wangekuwa na guts Kama za Lissu jamani ....yaan rahaaaa.....Raha Sana kuona mwanaume anamtoa mavi boss wake.shenzi Sana...rahaaa rahaaa rahaaa rahaaaa.,.
 
Kama watakuwa makini saaana. Ameingia kwenye 18 . Penati boksi.

Wanahitaji wajanja ,maana amekanyaga mtego, utakaogharimu mali, muda, afya.na lingine silisemi.

Aende kwa kambeni mtego wake mkubwa uko mbele kidooogo.
Akicheza tu kibra
 
Bungeni siku ya report ya uchunguzi ya kina marehemu Deo Filikunjombe. Yaani hadi Lissu mwenyewe walikuwa wanamfuata Mtemi Chenge. Tena siku hiyo bunge lilikuwa live. Walijadili ila wote walikuwa wanamfuata Chenge ili kutafasiri na sheria.
Ni hasara sana kumkosa chenge kwenye system
 
Tatizo litabaki kuwa la tume that if kama kweli kuna tatizo.

Wagombea wote walipeleka forms in advance zikaguliwe isipokuwa Lissu pekee kama kuna makosa warekebishe na tume aikuona tatizo naamini itakuwa ivyo.

Issue hapa ni psychological issues za Lissu. The guy is crying for help, he is not emotionally stable yet, hilo ndio tatizo la msingi hapa.
 
Angewekewa pingamizi Lissu kungekuwa na povu humu jf kwamba wanamwogopa, leo Lissu kaweka pingamizi anaonekana shujaa. Subirini kidogo mtakuja kulialia Tena .

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Acha ubwege wako usifikiri watu ni wajinga kama wewe Tambua kuwa CCM na wapambe wake walimwekea Tundu pingamizi tokea jana na hiki unachokiona kwa Tundu ni kujihami dhidi ya mapingamizi ya CCM tokea jana
 
Anauwa Chama chenu lakini, Magufuli ni Raisi wa JMTZ na mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ ni ujuha, ni watu low IQ ndio wanaweza kufanya hivi, ...
Mpumbavu sana wewe dada! Lissu anapambana na Magufuli kama mgombea urais wa CCM si vinginevyo!
 
Anamuengua mgombea wenu tulia usikilizie mziki mmezoea vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi sasa mtajua mwamba huyu hapa sasa View attachment 1548826
 
D Daaaa...... Watu mna maneno 🤣🤣🤣
 
Endeleeni kuchokoza tu.
Mmekaa kishari shari sana, kama siyo chama cha siasa ni kikundi cha mauaji vile.

Mna nini nyie chamadola?
Mnachokozwa na nani?
Ninyi ni nani msihojiwe?

Hamieni dunia ya peke yenu.
Jaribuni kuwa wazalendo wa kweli, muache unafiki na kujipendekeza kwa huyo dikteta, atapita, tanzania yetu pendwa ipo pale pale
 

..tume ni wanadamu wanaweza kukosea.

..TL pia ni mwanadamu mapingamizi yake yanaweza yasiwe na uzito.

..tunaendelea kumshukuru MUNGU kwa muujiza alioufanya kumuepusha TL ni kifo cha shambulizi la watu wasiojulikana.
 
Endeleeni kurukaruka kama njugu.

Huyo anayehitajiwa huko mitaani alikokuwa anazunguka mara mtaa wa jojo na mitaa ya firigisi watakutana kupeana pole uko huku mitaani kwao.

Mhe. Dr. Magufuli, ndiye Rais wa Tanzania anakubalika kwa Watanzania wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…