Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Ni hasara sana kumkosa chenge kwenye system

Kila kitabu na zama zake. Chenge na wastaafu wenzake wapumzike wawaachie wenzao wafanyekazi. Walikuwa na wakati wao waliachwa wakatumikia, sasa wakaepembeni. Ushauri wataombwa si kulazimisha kushauri.
 
Nani anahangaika kati ya Saccos na Chama Dume? Mara mnasema eti Lipumba atamuwekea pingamizi msaliti Lissu kwa kuwa ameelekezwa na CCM baada ya kubuma hilo sasa msaliti Lissu anawawekea pingamizi Lipumba na Magufuli. Mtakapogaragazwa mtakuja na upuuzi mwingine! You ass!!
CCM ndiyo wasaliti kuchukua pesa za walipa kodi kuwalipa Lipumba na shibuda wavuruge uchaguzi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu mpaka mwaka 2022 mtukufu atawale miaka 7 , usaliti ni kuchukua pesa za viwanda kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge
 
Dr. Magufuli , ndiye Rais wa Tanzania. Full stop.
Hutaki hama nchi .

Futa uchaguzi wa Rais basi mbona alikwenda kuteuliwa na NEC kama kugombea kama ni Rais unacheza na katiba wewe
 
Dr. Magufuli , ndiye Rais wa Tanzania. Full stop.
Hutaki hama nchi .
Kwanza kuwa Raisi kunamfanya asiwe mgombea kwenye uchaguzi wa mwaka huu??? As long as ni mgombea ana haki sawa na wenzake
 
Katika wote hakuna anayesema kuna uwezekano JPM na team take wakashindwa kupangua hayo mapingamizi.

Mjadala unaanza pale tutakspojua kimepingwa mini nje ya hapo ni kujilidhs upepo
 
tundu lisu yupo anahutubia live . Anadai kuwa muheshimiwa mgombea mwenzake wa ccm kwa upande wa uraisi hajaleta passport size . Akimaanisha passport size inatakiwa uonekane uso wote . si upande . Hakika tutasikia mengi .
 
Mhe. Dr. Magufuli, ndiye Rais wa Tanzania anakubalika kwa Watanzania wote.
Wewe ndiye watanzania wote?
Mbona hapa Geita watu wanamsema vibaya? Hawataki hata kumsikia!

Nilikuwa Kusini ukitaja tu jina hilo watu wanakuacha, wanakutenga, hawataki kabisa kumsikia, anakubalika wapi?

Kama anakubalikaa kwanini inatumika nguvu kubwa, ya hovyo kabisa kuukaandamiza upinzani?
Kwanini watanzania wasiachwe free wakaonesha yupi wanamkubali kwenye sanduku la kura?
 
Ule ukaguzi wa jana wa kina ktk zoezi lilichokuwa muda mrefu wa kuzihaki fomu za udhamini wa Lissu, ndizo zimemrahishia sana kukwepa mtego wa leo wa mapingamizi.

Lakini maandiko matakatifu hutufunulia jambo moja lenye hekima kubwa sana. Nalo ni kuwa, wa kwanza atakuwa wa mwisho, na wa mwisho atakuwa wa kwanza.

Wa kwanza jana alionekana na kupewa "coverage" kubwa sana TBC huku akitumia zamu na muda uleule uliopangwa na tume. Wa mwisho naye alionekana, licha ya kukaa muda mrefu, zamu yake ilicheleweshwa sana na hata kutopewa "coverage" yoyote ile na TBC.

GOD's time is the best.
 

Attachments

  • IMG-20200811-WA0080.jpg
    IMG-20200811-WA0080.jpg
    24.9 KB · Views: 1
.tatizo la wana CCM ni kutaka ktk uchaguzi huu Jpm awe kama "Papa au Baba Mtakatifu", halafu wagombea wengine wawe sawa na Maaskofu
Wakiishatibiwa ugonjwa huo, UPENDO, HAKI & UKWELI vilivyopotezwa kwa makusudi mazima, vitapata fursa na nafasi kurejea kwenye TAIFA na nchi iliyo yetu sote. AMEN
 
Back
Top Bottom