Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Dr. Magufuli , ndiye Rais wa Tanzania. Full stop.
Hutaki hama nchi .

Duuh, kweli kabisa unamaanisha?

Ninachokiona kwako ni mpishano mkubwa wa unachokitamka/andika hapa kutoka mdomoni kwako na unachoamini moyoni mwako....!

Kwa lugha rahisi ni hivi;

Hata wewe mwenyewe hukiamini kitokacho mdomoni mwako na kukiandika hapa....!!
 
Mazoea mabaya sana lakini this time yatawagharimu pakubwa
Siyo rahisi bro
Aliyeteua tume ni nani
Aliyetengeza fomu za wagombea ni nani
Anayeratibu mchakato mzima wa uchaguzi ni nani
Nafikiri umenielewa
Tatizo la wapinzani kufeli linajulikana,
watabaki kuweweseka miaka yote na CCM inashinda Kila siku
 
Mimi nadhani Lissu ameweka pingamizi sio kwa sababu anataka Rias aenguliwe kwenye kinyang'anyiro bali ni ili aonyeshe kwamba hata kama mpinzani wako ni mkuu wa nchi, kisheria una haki ya kumpinga kulingana na vifungu vya sheria zilizopo
Vyovyote iwavyo hata Kama ameweka pingamizi Rais asipumue poa tu..tushajichokea sisi na utawala huu
 
Uchwara aliyetawala miaka mitano huku akijinadi kuwafanyizia wanyonge maendeleo, leo tumbo joto yanangago pichu yaani presha inapanda inashuka!
 
Mwisho wa mapingamizi kupokelewa ni leo saa 10 alasiri. Sio?

Huenda mengine yalishapelekwa tangu majuzi.

Tume baadae itayapitia na kuyaweka hadharani.
Usije kushangaa kuwa mtu hakupingwa hata hili aliyetangaza ni mpingaji sio tume. Kuna wale hawatangazi wakijua kazi ya kutangaza mapingamizi sio yao, maana lazima yapitiwe yakidhi halafu yawe mapingamizi valid.

Si kuna wajinga hata watampinga Lisu eti anavaa miwani na ana bodguard wasio wajua? Tume itaona huu ni ujinga sio hoja . Inalitupa
 
Mimi nadhani Lissu ameweka pingamizi sio kwa sababu anataka Rias aenguliwe kwenye kinyang'anyiro bali ni ili aonyeshe kwamba hata kama mpinzani wako ni mkuu wa nchi, kisheria una haki ya kumpinga kulingana na vifungu vya sheria zilizopo
"Precedency".
 
Wote wenye akili timamu tunashukuru mungu kwa kumwachia maisha yake.

Hila iwapo tume ndio wenye jukumu la kuhakiki na watu walienda mapema kama kuna kasoro wazifanyie kazi na wakaambiwa hakuna.

Whose to blame ata mtu akikataa rufa?

..unajua waTz ni watu wema, lakini tangu Jpm aingie madarakani ametengeneza tabaka la watu MAKATILI.

..Sheria imeelekeza ni wakati gani wagombea wanaweza kuwekewa pingamizi.

..kama sheria hiyo haikupendezi basi kuna taratibu zake za kuibadilisha, lakini as long as iko kwenye vitabu vyetu itaendelea kutumika.
 
Duuh, kweli kabisa unamaanisha?

Ninachokiona kwako ni mpishano mkubwa wa unachokitamka/andika hapa kutoka mdomoni kwako na unachoamini moyoni mwako....!

Kwa lugha rahisi ni hivi;

Hata wewe mwenyewe hukiamini kitokacho mdomoni mwako na kukiandika hapa....!!

Naamini hujui kusoma.

Hebu rudia tena kusoma hapa kwa umakini,

RAIS WA TANZANIA NI MHE. DR. MAGUFULI.
 
Back
Top Bottom