Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Vyombo vyote vya Dola wapo na Tundu lisu isipokuwa viongozi wa juu wale wanaojipendekeza kwa mtukufu kulinda vinua mgongo vyao
Ulishawahi wapi kusikia mapinduzi yanafanywa na mkuu wa jeshi wanaofanya mapinduzi ni macaptain,makanali wewe hao wakuu achana nao vijana wakiamua hao nao hawana ujanja.
 
Tundu Lissu anawapa wakati mgumu sana NEC. Kama Magufuli akishinda Je watapiga chini rufaa za Chadema juu ya uharamia wa CCM????

Huyo ndo Tundu Antiphas Lissu!! Mataga wanatafutana huko 😂😂😂😂
 

Kwa muandiko huu hata Mimi ningeweka pingamizi.

Alafu kuna mtu anakuita Mama. Dunia kwa vioja, Duuh
 
Duh
 
Hivi kwa akili zenu mnadhani kwamba Mgombea wa CCM ataenguliwa!

Sidhani ataenguliwa lakini aje kujitetea au kujibu tuhuma kama sheria inavotaka. Sheria hizi hawakutengenezewa watu fulani tu.

Japo sioni maana ya pingamizi hili - kwangu kuona sheria ikifuatwa ni jambo la maana!! Je sheria hizi zinatekelezeka? Nimecheka kuona mwizi wa kuku akifungwa mwaka mzima na mwizi wa fedha za umma miezi sita!!

Huenda Lissu anapima mfumo!!
 
John hajui kusoma na kuandika lugha ya kingereza. Fomu zimeandikwa kwa kizungu.

Kuna sehemu anatakiwa kujaza: SEX, John katiririka ngono mwanzo mwisho
Alafu unataka tukuone nawewe ni moja ya great thinker hapa Jf?
 
Mimi nadhani Lissu ameweka pingamizi sio kwa sababu anataka Rias aenguliwe kwenye kinyang'anyiro bali ni ili aonyeshe kwamba hata kama mpinzani wako ni mkuu wa nchi, kisheria una haki ya kumpinga kulingana na vifungu vya sheria zilizopo
Lisu hajaribu wala hatanii kwenye suala LA sheria yuko serious
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office
Mmepata size yenu k*mm*ke hahaha, mwamba ana dribble mbaya.
Jamii ipi? Hii ya forums au mtaani.
Mpaka sasa kwa wananchi neutral CCM inaonekana ina force...na ni waonevu, na ndio kituko wakurugenzi wanachoreshwa mbayaaa na mavideo ya siku hizi fasta tu.Mwisho wa siku watu watapiga kura za hasira kujibu hilo.
 
Naamini hujui kusoma.

Hebu rudia tena kusoma hapa kwa umakini,

RAIS WA TANZANIA NI MHE. DR. MAGUFULI.

Hapana...

Najua kusoma na kuandika vilevile...

Siyo hivyo tu, bali Nina MAARIFA na UFAHAMU wa kutosha...

Wewe ndiye una tatizo la "uelewa" kidogo labda...

Mjadala uliopo ni kuhusu "WAGOMBEA URAIS KTK UCHAGUZI WA MWAKA 2020"

Nani Rais hapo?

Magufuli ni mgombea, au siyo?

So, what's so difficult for you to understand the logic of the discussion?

Namalizia kukuambia hili;

Tundu Lissu kamwekea pingamizi mgombea mwenzake na siyo Rais....!!
 
Huyu Tundu Lissu anaonekana mwenye furaha sana kuliko hata waliompiga risasi.

Ama kweli maisha ni tofauti sana kabla na baada ya kumwaga damu ya mtu.
Haya ndo maajabu ya Mungu kwa kweli. Yaani Tundu Lissu anafuraha Mungu kamponya ila waliomfanyia vibaya saivi hawana raha na roho zao ziko juu juu!!!!

Dunia hiii acha tu!!!
 
Siyo rahisi bro
Aliyeteua tume ni nani
Aliyetengeza fomu za wagombea ni nani
Anayeratibu mchakato mzima wa uchaguzi ni nani
Nafikiri umenielewa
Tatizo la wapinzani kufeli linajulikana,
watabaki kuweweseka miaka yote na CCM inashinda Kila siku
Shida yenu mnaishi kwa kukalili hamsomi nyakati ninyi vijana
 
Chadema kwa kupenda kujifurahisha bhana hahahahaha
 

Walipo kubali kazi hii ya kiapo walijua kilicho mbele ya kazi. Usiwasemee unless wanekutuma kuwasemea.

Lakini ni muhimu wapewe back room staffs wanaojielewa. Jaji hatakiwi hata kubeba karatasi. Mfano mzuri tuliona kwa Jaji Lubuva 2015. Hata kiti hagusi, wako watu nyuma yake kwa kazi hiyo wanao hakikisha anasoma mpaka nukta na komma.
 
Ameshaambiwa hajawekewa pingamizi lolote
 
Sasa mbona mnatoa hadithi nusu nusu. Wameweka pingamizi kwa vigezo gani? Ushahidi gani upo ili mahakama ya hadharani ianze kuwashinikiza NEC?

Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…