Aache tu.Nashauri angeacha tu, kwa kuwa yeye hajawekewa angetulia
Sasa kuna rais amabae ni malaika?Kumfukuza kazi siyo kiholela hivyo, [SUB]katiba imetoa sababu zinazoweza kutumika kumshitaki rais ya kwanza ni iwapo rais amevunja katiba au amevunja Sheria ya naadili ya viongozi wa umma, pili amefanya jambo linalokiuka Sheria ya vyama vya siasa, tatu ni iwapo Rais anamwenendo unaodhalilisha kiti cha urais[/SUB]
He is tall water, dont play with him. Anaonekana tofauti because he is far ahead of manyWatu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.
Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.
Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma
Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Uchaguzi House) jijini Dodoma kuwasilisha fomu zake za mapingamizi dhidi ya wagombea wengine katika nafasi ya Urais wa JMT, baada ya hapo atazungumza na Waandishi wa Habari Ofisi za Chadema, Kanda ya Kati, jijini Dodoma.
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
Agosti 26, 2020
====
Tundu Lissu amewawekea Pingamizi Wagombea Wawili wa Urais. Amewawekea pingamizi Ibrahim Lipumba wa chama cha CUF na Dr. John Magufuli wa chama cha CCM.
Hadi muda unaisha, hakuna aliyemuwekea Pingamizi Tundu Lissu. Hivyo kaondoka na kuelekea Ofisi za CHADEMA za Kanda kuongea na Wanahabari.
Zaidi, soma:
Uchaguzi 2020 - NEC imemteua Profesa Ibrahim Lipumba kuwa Mgombea wa Urais
Uchaguzi 2020 - NEC imemteua Dkt. John Pombe Magufuli kugombea Urais na Mama Samia Suluhu Umakamu wa Rais kupitia CCM
Uchaguzi 2020 - Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA
View attachment 1548762View attachment 1548764
Wanakata clips za mgombea, na wanachelewa sana kuziweka piaHujasema kwa uwazi ni jinsi gani wanakukwaza au kwa wao kupenda haki itendeke
Mkurugenzi wa tume lazima atatenguliwa jioni yake.Mara paaap Magufuli kaondolewa kuwa mgombea
Mkuu hivi Lisu awe rais na wabunge wake wasiozidi 20 unategemea nini kitatokea? Hata kama una nguvu za vgombo vya dola wabunge wa upande wa pili lazima wakutimue na uchavuzi kurudiwaHilo bunge wabunge watakutania wapi? Ukishakuwa na nguvu ya kuamrisha vyombo vya dola, yeyote anayekwenda mahali kukusanyika bila ridhaa yako anapata kipigo. Hayo mambo Magufuli ndio kaonyesha miaka hii yote mitano, kuwa rais ndio anaamua atakavyo na wengine wote wanafuata. Mtengeneze precidence mbaya ya utii wa sheria na katiba, kisha mtegemee wengine watafuata?
Sawa mkuu. Jiandae kulia 28.Shida nyinyi watu vichwa vyenu ni vizito sana.
Kwa mujibu wa sheria nani anamamlaka ya kutunga kanuni za uchaguzi?He is tall water, dont play with him. Anaonekana tofauti because he is far ahead of many
Mkuu hivi Lisu awe rais na wabunge wake wasiozidi 20 unategemea nini kitatokea? Hata kama una nguvu za vgombo vya dola wabunge wa upande wa pili lazima wakutimue na uchavuzi kurudiwa
Mimi nilikuwa nakukumbusha tu kwamba Rais hafukuzwi tu na bunge kiholela.Sasa kuna rais amabae ni malaika?
Lazima akikosea tu wenzie wanapeleka mswada wana mngoa.
Sio Lisu akiwa rais wakati anategemewa kupata si zaidi ya asilimia 20 ya kura na wabunge wasiozidi 10
Wewe ukikuwa wa kwanza kuhamasisha wenzio wasiende kujiandikisha sasa ulitegemea nini?Sio kwa kura boss. Kama tayari idadi ya wapiga kura ni ya kupika, unategemea matokeo yatakuwa ni ya kura? Watanzania tuko 59m+, inawezekana vipi watu 29m+ kuwa wapiga kura? Ukielewa hiyo huwezi kutamba eti ningoje tarehe 28.
Kwahiyo Lisu nae atakuwa dikteta?Narudia tena, ukiwa na nguvu ya kuagiza vyombo vya dola, unafanya lolote nchi hii. Bunge na mahakama ni uchafu kama uchafu mwingine.
Aisee mkuu nimemiss sana "Faiza Foxy" Mungu amtunze huko alipo.Cc.FaizaFoxy "huko shule mlienda kusomea ujinga?" [emoji23]
Wewe ukikuwa wa kwanza kuhamasisha wenzio wasiende kujiandikisha sasa ulitegemea nini?
Mbali na kura, huu uchaguzi ccm ina sehemu nyingi sana za kuwapigia
Kwahiyo Lisu nae atakuwa dikteta?
Tunazungumzia mtu kufungwa supa kwenye draft au kupigwa woshi kweny pool table ndio alichowafanyia Antipasi leo. Na ni aibu iliyo kuu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Baada ya oktoba 28 mtapoteana humu,
Hivi mwenzio tayari ana mabao 22 wewe una 0 bado unaota ushindi?
Lisu atatia aibu sana mwaka huu
Halafu utakuta hata hoja hii itaunganishwa na thread nyingine kufifisha hoja nzito kabisa ya elimu ya kweli ya kiuraia aliyotoa mgombea wetu kwa umma.