Na tume halafu CDF anapeleka ulinzi special pale anasema uchaguzi uendeleeNa nani?
Nenda google kasome effects of ‘life event’ or significant life eventsWho told you kilaza?
Kabisa wao kama wanajifanya wajuaji basi chadema wajuaji zaidi ,kama wakimuwekea pingamizi lissu na chadema wamemuwekea MECCO pingamizi ,wakimuengua lissu na membe basi na ChaPOMBE aenguliwe ,Mpambano ubakie kati ya SPUNDA wa Ubwabwa na MAISHAMAPYA MCHUNGUZI.Ukiona hivyo,uje nae wamemuwekea pingamizi hivyo hii ni hatua mojawapo ya kujihami.
Wakitaka kumuengua,basi nao hao wengine(hasa Mfalme) nao waenguliwe na hapo ndio patakuwa pagumu na kwahiyo mchezo utaishia hapo.
😂😂😂Yaonekana pana mtu alikuwa kapanga kufika tume kimya kimya mida ya 16:00 na mapingamizi lukuki.
Kutoa ngoma droo, ilipaswa kwenda mwendo huo huo wa kimya kimya na mida pendwa ya16:00.
Suluhu twende tu kwa wananchi.
Tukubaliane tu bandugu mizengwe sasa, - basi.
Mimi naona angepotezea tu kikajulikane huko field mbivu na mbichi
Chenge washamvuruga washampiga "MIMBASHA" hana hamu nao,muache MECCO atemeshwe MICHEMSHO.Sasa hapa CCM itabidi wamuite Mtemi Chenge. Maana la sivyo wale vilaza wakiongonzwa na mwenyekiti wao watachanganyikiwa. Chenge pekee ndo kiboko ya Lissu.
Kibao kikigeuka useme hivyo hivyo bwashee!
Kilichotokea kimetokea nani kafanya binafsi sijui. Sasa aina maana Lissu asikamilishe matibabu yake ya kiakili ili aweze endelea na maisha yake without mental torture.
ccm yenyewe ina imani kwa binadamu wote Sawa, hii imani yako na lugola kwamba kuna yesu wenu mpya, ambaye yeye ni bora kuliko wengine sijui mmeipata wapi! Wewe mwenyewe Upo equal kabisa na Mh. Raisi, tofauti ni majukumu tu, lakini hakuna mtu spesho!Wewe unaweza kuona Lissu anatumia haki zake lakini tatizo hapo kama unaelewa ‘psychology’ ya impact za kukutana na ‘life changing events’ kama tukio la Lissu side effects ni rebellion na kutokukubali ukweli.
Lissu anatakiwa akubali Magufuli ni raisi wa Tanzania na ana nguvu kubwa kutokana katiba yetu. Kwenda kutembea na ma body guards wanakimbiza gari yake kama na yeye mtu muhimu akumuweki on equal na raisi wa Tanzania.
Kukataa hadharani hakuna kitu Magufuli amefanya hayo mambo yamefanywa na wakoloni ya kujenga miundombinu etc.
Kudhamiria kushinda uchaguzi kwa sababu ya kumshinda Magufuli ukisikiliza speech zake badala ya kwenda kuwatumikia watanzania.
Barua zake za ovyo zenye empty threats na dilusions za international community nyuma yake kwenye uchaguzi.
Ushahidi ni mwingi mpaka sasa serikali inafanya kazi ya ‘baby sitting’ tu amalizane na emotional issues zake; hila he is becoming erratic as days go anahitaji intervention huyo mtu kumsaidia kimawazo.
Chifu wetu wa wasukuma hataki bughudha saa hii..Sasa hapa CCM itabidi wamuite Mtemi Chenge. Maana la sivyo wale vilaza wakiongonzwa na mwenyekiti wao watachanganyikiwa. Chenge pekee ndo kiboko ya Lissu.
Baba matusi yametokea wapi tena kusha maliza kukataviuno kumshangiria nape kwa kua mbunge wa kuteuliwaSiku zote wasomi na wataalamu kama Lissu huenda kinyume na washamba na wajinga
Anazo pesa za mabeberu sasa akichafua amani wao ndio wanamuongezea dau kwa hyo anatafuta mihemuko wkt wote ili akiwakishe ndio yeye aonekane nafanya kazi.Lissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Hahahaaaa.......!Siku zote kibao kina pande mbili...kule usikotaka kuisoma ikikuelekea hata wewe Bwashee ukubali tu !!!
Wee kilaza kweli CCM ndio wanaitakia nchi yetu mema etiBaada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Kama wamewekewa pingamizi hapa hawana ujanja. Inabidi wamwite ChengeChifu wetu wa wasukuma hataki bughudha saa hii..
Unajuaje kama hajawekewa?Nashauri angeacha tu, kwa kuwa yeye hajawekewa angetulia
KUSHACHOKA KUSHANGIRIA WABUNGE WAKO WA VITI MAALUM MULIO WATANGAAZA JANA AKINA NAPEBaada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI