Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Ukiona hivyo,uje nae wamemuwekea pingamizi hivyo hii ni hatua mojawapo ya kujihami.

Wakitaka kumuengua,basi nao hao wengine(hasa Mfalme) nao waenguliwe na hapo ndio patakuwa pagumu na kwahiyo mchezo utaishia hapo.
Kabisa wao kama wanajifanya wajuaji basi chadema wajuaji zaidi ,kama wakimuwekea pingamizi lissu na chadema wamemuwekea MECCO pingamizi ,wakimuengua lissu na membe basi na ChaPOMBE aenguliwe ,Mpambano ubakie kati ya SPUNDA wa Ubwabwa na MAISHAMAPYA MCHUNGUZI.
 
Yaonekana pana mtu alikuwa kapanga kufika tume kimya kimya mida ya 16:00 na mapingamizi lukuki.

Kutoa ngoma droo, ilipaswa kwenda mwendo huo huo wa kimya kimya na mida pendwa ya16:00.

Suluhu twende tu kwa wananchi.

Tukubaliane tu bandugu mizengwe sasa, - basi.
😂😂😂
 
Kilichotokea kimetokea nani kafanya binafsi sijui. Sasa aina maana Lissu asikamilishe matibabu yake ya kiakili ili aweze endelea na maisha yake without mental torture.

..kwa vyovyote vile aliyeondoa ulinzi area D, dodoma, eneo aliposhambuliwa tundu lissu, ni mtu mwenye madaraka makubwa.
 
Wewe unaweza kuona Lissu anatumia haki zake lakini tatizo hapo kama unaelewa ‘psychology’ ya impact za kukutana na ‘life changing events’ kama tukio la Lissu side effects ni rebellion na kutokukubali ukweli.

Lissu anatakiwa akubali Magufuli ni raisi wa Tanzania na ana nguvu kubwa kutokana katiba yetu. Kwenda kutembea na ma body guards wanakimbiza gari yake kama na yeye mtu muhimu akumuweki on equal na raisi wa Tanzania.

Kukataa hadharani hakuna kitu Magufuli amefanya hayo mambo yamefanywa na wakoloni ya kujenga miundombinu etc.

Kudhamiria kushinda uchaguzi kwa sababu ya kumshinda Magufuli ukisikiliza speech zake badala ya kwenda kuwatumikia watanzania.

Barua zake za ovyo zenye empty threats na dilusions za international community nyuma yake kwenye uchaguzi.

Ushahidi ni mwingi mpaka sasa serikali inafanya kazi ya ‘baby sitting’ tu amalizane na emotional issues zake; hila he is becoming erratic as days go anahitaji intervention huyo mtu kumsaidia kimawazo.
ccm yenyewe ina imani kwa binadamu wote Sawa, hii imani yako na lugola kwamba kuna yesu wenu mpya, ambaye yeye ni bora kuliko wengine sijui mmeipata wapi! Wewe mwenyewe Upo equal kabisa na Mh. Raisi, tofauti ni majukumu tu, lakini hakuna mtu spesho!
 
Lissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Anazo pesa za mabeberu sasa akichafua amani wao ndio wanamuongezea dau kwa hyo anatafuta mihemuko wkt wote ili akiwakishe ndio yeye aonekane nafanya kazi.
 
Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Wee kilaza kweli CCM ndio wanaitakia nchi yetu mema eti
 
Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
KUSHACHOKA KUSHANGIRIA WABUNGE WAKO WA VITI MAALUM MULIO WATANGAAZA JANA AKINA NAPE
 
Back
Top Bottom