Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uzuri wa Lissu watu wengi bado hawajamuelewa yeye siku zote uwa anapenda haki, sheria ifuatwe na haki itendeke.

Ujanja ujanja kwake no Ni kusimamia ukweli.
Wameanza wao kuweka pingamizi tokea jana lakini wapo watumishi wa NECCCM wenye utu busara wakawa wanampa taarifa zote ndipo na yeye kaamua kuwajibu vizuri
 
Lissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Amekwambia hana nguvu? UmeUmepaniki
 
Anauwa Chama chenu lakini, Magufuli ni Raisi wa JMTZ na mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ ni ujuha, ni watu low IQ ndio wanaweza kufanya hivi, ...
Raisi akitikiswa na akatikisika nchi nzima inatikisika ndio katikiswa sasa na bado
 
Tuendelee kutunza kumbukumbu, Lissu pamoja na uhuru na haki ya kufanya haya yote oktoba akiwa kesha shindwa vibaya atasema uchaguzi haukuwa huru na haki.

Jana alisema ameambiwa yako magari 3 na kuyataja namba zake kuwa yana watu wenye binduki wanataka wamteke. Tume haikukemea hili, ila leo inakemea vyombo vya habari kutaja majina ya wagombea ambao majimbo yao wapinzani wamevurugwa.

Tume ilitoa elimu ya uchaguzi ya kutosha kwa wanahabari? Kuwepo na watu wa kuambatana na wakiwa nyuma ya wajumbe wa tume.
 
Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma

Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Uchaguzi House) jijini Dodoma kuwasilisha fomu zake za mapingamizi dhidi ya wagombea wengine katika nafasi ya Urais wa JMT, baada ya hapo atazungumza na Waandishi wa Habari Ofisi za Chadema, Kanda ya Kati, jijini Dodoma.

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
Agosti 26, 2020

View attachment 1548762View attachment 1548764
Asiye na uzoefu wakujaza hizo fomu ndiye atakayekosea, siyo JPM. Rais JPM ana uzoefu wa kujaza hizo fomu na ni makini, hana papara wala wasiwasi kama Lissu. Jana aliposubilishwa pale Ndejengwa, NEC, akadhani ndio kakwama na kuanza kulalamika.
 
CDM wakiweka pingamizi kuna kijani wanadai wanashindana na dola . CCM wakiweka ni haki na wagombea chungu mzima wameenguliwa kimizengwe. Ndio maana yule Diwani aliekatwa Dodoma alidai ' Mie sio mpinzani msinikamate'.
Tume wamekataa huo ujinga yaani Ccm wàmebanwa kila mahali
 
Na wewe sasa unakuwa kama Lissu living in the past you can’t change what happened that’s notion which needs to hit home, ili aweze kwenda mbele psychologically. If not akishindwa uchaguzi hayo matatizo yake yanaweza ku develop into other more serious forms of stress.

..kwani ni wapi nimejaribu kubadilisha yaliyotokea?

..unyama na ukatili uliofanywa na jiwe ni jambo baya sana kwa taifa letu.

..jiwe anapaswa kuondolewa ili kama nchi tusiendelee kubeba dhambi zake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwaka huu duu...Lissu wahurumie kidogo hawa watu...
Hivi hapo unaona kuna chochote Lisu anaambulia?..

Angakuwa na akili angetumia huo muda kuwasaidia wagombea wake ambao ccm imepita bila kupingwa huku majimboni.
 
Screenshot_20200826-163057_Twitter.jpg

Magufuli na Lipumba kuna alarm huku
 
Back
Top Bottom