Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Lissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Hapambani na mkuu wa nchi, anapambana nawagombea. Kama Mkuu wa nchi hataki mapambano ya uchaguzi mkuu asigombee, akae pembeni, wanaoweza mapambano wachukue fomu.
 
Asiye na uzoefu wakujaza hizo fomu ndiye atakayekosea, siyo JPM. Rais JPM ana uzoefu wa kujaza hizo fomu na ni makini, hana papara wala wasiwasi kama Lissu. Jana aliposubilishwa pale Ndejengwa, NEC, akadhani ndio kakwama na kuanza kulalamika.
Angekuwa na uzoefu nn kilimshinda kwenda kutafuta wadhamini
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office

Akili yako ina matatizo.
 
Sasa hapa CCM itabidi wamuite Mtemi Chenge. Maana la sivyo wale vilaza wakiongonzwa na mwenyekiti wao watachanganyikiwa. Chenge pekee ndo kiboko ya Lissu.
Kwahiyo wale wasifu mapambio ,waunga juhudi umati wote ule hamuna anae muweza lisu kweli nimeamini ccm milioni 6 ni sawa na ubavu wa kushoto wa lisu
 
Kwa maelekezo ya tume ya uchaguzi, anayeweza kuweka pingamizi linalohusu makosa yaliyotajwa kwenye sheria ya gharama za uchaguzi ni msajili wa vyama vya siasa tu:
"
(p) Ametenda vitendo vilivyokatazwa chini ya Sheria ya

Gharama za Uchaguzi, Sura ya 278. (Pingamizi kuhusiana na

sababu hii litawekwa na Msajili wa Vyama Vya Siasa tu
)."
Sheria ya gharama za uchaguzi haijataja nani anaweza kuweka pingamizi, inataja makosa na matokeo ya makosa hayo haijataja utaratibu wa kuprove hayo makosa, Sijapata kanuni za sheria hiyo
 
Usipotoshe mlamu, Magufuli ni mgombea tu kwa sasa.

Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu hata mnaweza ongozwa na kumfwata Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata yeye ni kama wewe anaamini kweli kabisa kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
 
Jamaa katoka tume hadi saa kumi na dakika tano hakuwa ameoingwa. Yeye kampinga Pumba na JOM
Screenshot_20200826-163945.jpg
 
Politics is about consolidating friends not enemies
You gather friends who will be with you with their supporters to give you votes

Wakishinda pingamizi hao aliowakea pingamizi watakuwa maadui zake wao na supporters wao hawampi kura
Lisu ni political idiot
 
Nyumbu mna kazi sana.

Hivi kwa akili zenu za kinyumbu kwamba Mgombea wa CCM ataenguliwa!

Kwa kweli Lofa ni Lofa tu (RIP Mkapa)
Nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM walivyokuwa wengi lakini vilaza waliokariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM mpaka kujitoa fahamu zote
 
Back
Top Bottom