issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Hao ni wabunge wenu wa viti maalum siyo walio chaguliwa na wananchiTukiwaambia chadema ni wajinga wanatokwa povu!
Wenzenu huku tayari wana wabunge 22 nyie bado mnahangaika kukagua form?
Mambo mengine ni ujuaji ambao hauna maana.
Kwahiyo anategemea kuna mtu ataenguliwa ili yeye abaki peke yake?